Kwenye michezo hiyo "mateso" ndio rafiki yako...Hata mie nataka kujifunza hii kung Fu ila naskia ni ngumu sana sijui ni kweli au vipi
Rafiki umewahi kushiriki nije unifundishe[emoji23] [emoji23]Kwenye michezo hiyo "mateso" ndio rafiki yako...
Ukilitambua hilo, utafanikiwa!
Nimewahi kushiriki kidogo miaka 10 iliyopita. Kwa miezi miwili tu, father alinikataza kipindi hicho nikaishia njiani.Rafiki umewahi kushiriki nije unifundishe[emoji23] [emoji23]
Kama upo dar kuna mwalimu anaitwa jumanne yupo ilala boma anafundisha taichiiiJamani nina shida na mwalimu mzuri wa ngumi.
Nina nia ya dhati ya kujifunza moja kati ya style zifuatazo;
- Wing Chun
- Tai Chi
- Wu Xu
Yakikosekana basi aliekuwepo ama anayejua mahala anipe habari ntashukuru sana.
[HASHTAG]#envy[/HASHTAG]
Inabidi nikuogope sikuchokozi siku nyingine utaning'oa meno ya mbele kumbe una self defenceNimewahi kushiriki kidogo miaka 10 iliyopita. Kwa miezi miwili tu, father alinikataza kipindi hicho nikaishia njiani.
Pia kuna mwalimu alikua maeneo ya moshi baa lelini alikuwa ni babu.alikua vizuri sana kwa kungfuu cjawai ona ila amefarikiJamani nina shida na mwalimu mzuri wa ngumi.
Nina nia ya dhati ya kujifunza moja kati ya style zifuatazo;
- Wing Chun
- Tai Chi
- Wu Xu
Yakikosekana basi aliekuwepo ama anayejua mahala anipe habari ntashukuru sana.
[HASHTAG]#envy[/HASHTAG]
Cjawai ona mtu anae ujua mchezo akimpiga mtu.maana huwa ni waoga.na maanisha wanaogopa kuingia matatizoni mfano kuuwa unajua ngumi ni mchezo hivyo basi kupigana kwa mpiganaji ni burudani but kwa anae pigwa ni maumivu.wakati ukipiga mapigo mpigaji huburudika na wakati mwingine ujihisi utumii nguvu kumbe kila pigo ambalo kwako ni la kawaida kwa yule unaempiga lina ingia kisawasawa na kuacha madhara ambayo uwenda yakapelekea kifoInabidi nikuogope sikuchokozi siku nyingine utaning'oa meno ya mbele kumbe una self defence
Kwamlioko mwanza muoneni huyu dogo atawasaidia kukidhi haja zenu ,Nimwalimu mzuri sana wa karate Igombe nzima hana mpinzani 0762542474Jamani nina shida na mwalimu mzuri wa ngumi.
Nina nia ya dhati ya kujifunza moja kati ya style zifuatazo;
- Wing Chun
- Tai Chi
- Wu Xu
Yakikosekana basi aliekuwepo ama anayejua mahala anipe habari ntashukuru sana.
[HASHTAG]#envy[/HASHTAG]
Master Jumanne yuko vzr sana. Akamtafute akiwa na nidhamu na uvumilivu wa hali ya juu...Kama upo dar kuna mwalimu anaitwa jumanne yupo ilala boma anafundisha taichiii
Hapana hatutakiwi kuogopana. Na unaweza kunichokoza kivyovyote nisireact, sina hasira.Inabidi nikuogope sikuchokozi siku nyingine utaning'oa meno ya mbele kumbe una self defence
Wewe viungo vimeshakaza hiyo kitu itakusumbua. Wanaanzia utotoni. ""Au kuna mtu unataka umfanyie mazoezii""(joking)Hata mie nataka kujifunza hii kung Fu ila naskia ni ngumu sana sijui ni kweli au vipi
Jummanne yuko vizuli sanaMaster Jumanne yuko vzr sana. Akamtafute akiwa na nidhamu na uvumilivu wa hali ya juu...
Safi sana mkuuu nidhamu ya mchezoHapana hatutakiwi kuogopana. Na unaweza kunichokoza kivyovyote nisireact, sina hasira.
Jummanne yuko vizuli sana
Kama upo tayari kujifunza boxing ,nitafute nikusaidie.Jamani nina shida na mwalimu mzuri wa ngumi.
Nina nia ya dhati ya kujifunza moja kati ya style zifuatazo;
- Wing Chun
- Tai Chi
- Wu Xu
Yakikosekana basi aliekuwepo ama anayejua mahala anipe habari ntashukuru sana.
[HASHTAG]#envy[/HASHTAG]