Natafuta Mwalimu wa kumfundisha Mwanangu anayetarajia kuingia darasa la tano mwakani

Natafuta Mwalimu wa kumfundisha Mwanangu anayetarajia kuingia darasa la tano mwakani

Ferruccio Lamborghini

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
1,667
Reaction score
2,595
Nawasalimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu natafuta mwalimu mzuri aliyebobea katika ufundishaji kwaajili ya kumfundisha mwanangu ambaye mwakani anatarajia kuendelea darada la tano maana amemaliza kufanya Necta juzi tu hapa.


Kwa sasa dogo yupo tu nyumbani anacheki tu muvi na vikatuni + Kulfi. Hivyo basi nahitaji mwalimibwa kumkeep busy walau hata masaa matano.

Shida kubwa mtoto ni Hesabu.

Mahitaji yangu ni afundishwe kwa miezi hii miwili na wiki kadhaa mpaka pale matokeo ya darasa la nne yatakapotoka.


LOCATION:
Napatikana Dar es Salaam, Temeke.


LUGHA:
Mahitaji awe mwalimu anayejua kuzungumza kiingereza kwa ufasaha maana dogo tangu anaanza chekechea mpaka sasa anasoma English Medium tu.

MASOMO:
Mathematics, Civics and Moral Education, Vocational Skills, Social Studies, Science and Technology


MALIPO:
Kuhusu malipo karibuni PM.


Asanteni
 
Nawasalimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu natafuta mwalimu mzuri aliyebobea katika ufundishaji kwaajili ya kumfundisha mwanangu ambaye mwakani anatarajia kuendelea darada la tano maana amemaliza kufanya Necta juzi tu hapa.


Kwa sasa dogo yupo tu nyumbani anacheki tu muvi na vikatuni + Kulfi. Hivyo basi nahitaji mwalimibwa kumkeep busy walau hata masaa matano.

Shida kubwa mtoto ni Hesabu.

Mahitaji yangu ni afundishwe kwa miezi hii miwili na wiki kadhaa mpaka pale matokeo ya darasa la nne yatakapotoka.


LOCATION:
Napatikana Dar es Salaam, Temeke.


LUGHA:
Mahitaji awe mwalimu anayejua kuzungumza kiingereza kwa ufasaha maana dogo tangu anaanza chekechea mpaka sasa anasoma English Medium tu.

MASOMO:
Mathematics, Civics and Moral Education, Vocational Skills, Social Studies, Science and Technology


MALIPO:
Kuhusu malipo karibuni PM.


Asanteni
Maelezo mazuri na yanajitoshereza.... Wadau changamkieni fursa.. kazi iendelee [emoji123]
 
Nawasalimu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu natafuta mwalimu mzuri aliyebobea katika ufundishaji kwaajili ya kumfundisha mwanangu ambaye mwakani anatarajia kuendelea darada la tano maana amemaliza kufanya Necta juzi tu hapa.


Kwa sasa dogo yupo tu nyumbani anacheki tu muvi na vikatuni + Kulfi. Hivyo basi nahitaji mwalimibwa kumkeep busy walau hata masaa matano.

Shida kubwa mtoto ni Hesabu.

Mahitaji yangu ni afundishwe kwa miezi hii miwili na wiki kadhaa mpaka pale matokeo ya darasa la nne yatakapotoka.


LOCATION:
Napatikana Dar es Salaam, Temeke.


LUGHA:
Mahitaji awe mwalimu anayejua kuzungumza kiingereza kwa ufasaha maana dogo tangu anaanza chekechea mpaka sasa anasoma English Medium tu.

MASOMO:
Mathematics, Civics and Moral Education, Vocational Skills, Social Studies, Science and Technology


MALIPO:
Kuhusu malipo karibuni PM.


Asanteni
Muache mtoto apumzike mkuu, Elimu ya msingi inahitaji ujue KKK(kusoma, kuhesabu na kuandika) kama anajua hayo bas muache

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom