Natafuta Mwanamama wa kushirikiana nae kwenye biashara ya Chakula (Mama Ntilie)

Natafuta Mwanamama wa kushirikiana nae kwenye biashara ya Chakula (Mama Ntilie)

Habari wanajamvi, ninatafuta mtu wa kushirikiana nae kwenye biashara ya kuuza chakula maarufu kama Mama Lishe. Ninapendelea huyo mtu awe na uzoefu wa biashara hiyo kwani atakuwa mpishi mkuu.Pia awe anaishi Dar es salaam, Tutazungumza makubaliano yatakvyokuwa ila kwa ufupi mimi nitatoa gharama zote zinazotakiwa za kuanzisha biashara hii. Tutaelewana namna ambavyo tutagawana nae faida itakayokuwa inapatikana. Ambaye yupo tayari au kama una mtu unamfahamu anaweza mwambie awasiliane na mimi kupitia simu namba 0678692973. Tuma meseji tafadhali.
Biashara ya mama tilie ni yawakina mama watalaka wajane na singo maza, mwana umme kua na mawazo ya kuanzisha mama tilie tunakutilia mashaka kama wanabaharia....ungesema unatafuta mpishi wa mgahawa wako restaurant au fast food centre ungeeleweka ila hapo hapana wababaharia unawagusha mkuu
 
Biashara ya mama tilie ni yawakina mama watalaka wajane na singo maza, mwana umme kua na mawazo ya kuanzisha mama tilie tunakutilia mashaka kama wanabaharia....ungesema unatafuta mpishi wa mgahawa wako restaurant au fast food centre ungeeleweka ila hapo hapana wababaharia unawagusha mkuu

Sawa Baharia mkuu.
 
Mkuu kwenye swala la experience ndo umefeli we ita yoyote mwenye uhitaji na anaweza hii kazi, nadhani itasaidia wengi hasa graduates
 
Asanteni wote mnaoendelea kutuma meseji kama mlivyoelekezwa.
 
Habari wanajamvi, ninatafuta mtu wa kushirikiana nae kwenye biashara ya kuuza chakula maarufu kama Mama Lishe. Ninapendelea huyo mtu awe na uzoefu wa biashara hiyo kwani atakuwa mpishi mkuu.Pia awe anaishi Dar es salaam, Tutazungumza makubaliano yatakvyokuwa ila kwa ufupi mimi nitatoa gharama zote zinazotakiwa za kuanzisha biashara hii. Tutaelewana namna ambavyo tutagawana nae faida itakayokuwa inapatikana. Ambaye yupo tayari au kama una mtu unamfahamu anaweza mwambie awasiliane na mimi kupitia simu namba 0678692973. Tuma meseji tafadhali.

Hapa naona wewe unatafuta MPISHI. Unashirikiana vipi n amtu wakati wewe unalipa kila gharama yeye kazi yake kupika tu? Weka wazi proposal yako, yeye utampa asilimia ngapi ya mapato...That's it
 
Back
Top Bottom