Natafuta mwanamke aliyeko Mwanza

Natafuta mwanamke aliyeko Mwanza

Kim Jong Un

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
496
Reaction score
263
halo. natafuta demu awe anaishi mwanza... umri over 30 mnene au mwembamba safi.
nayeye awe anijiweza. sio kwa ajili ya kunitunza bali nimechoka na under 30 wananyonya hela hao kama anopheles mosquito.
 
Hivi KakaJambazi mbona unapenda kudandia matangazo ya watu inaonekana una nia lakini unaogopa kutangaza nipe wasifu wako halafu me ntakusaidia kuweka bango
 
Last edited by a moderator:
Hivi KakaJambazi mbona unapenda kudandia matangazo ya watu inaonekana una nia lakini unaogopa kutangaza nipe wasifu wako halafu me ntakusaidia kuweka bango

Awe hajawahi zaa wala toa mimba.
Asiwe tipwatipwa, maji ya kundwa au mweupe lakini sio wa mkorogo.
Awe mkristu na kama Muislam basi awe tayari kubadili dini.
Miaka 25 - 30. Awe angalau anakazi.
 
sasa huoni ushafunguka nimekusaidia sa cha kufanya copy huo wasifu fungua thread mpya yako mwenyewe nikutakie kheri KakaJambazi
 
Last edited by a moderator:
halo. natafuta demu awe anaishi mwanza... umri over 30 mnene au mwembamba safi.
nayeye awe anijiweza. sio kwa ajili ya kunitunza bali nimechoka na under 30 wananyonya hela hao kama anopheles mosquito.

Geita si karibu na Mwanza
 
Back
Top Bottom