Ww kuww tu makin ucje ukamtiaAisee hujaweka vigezo au kigezo ni kimoja tu asikupige kibomu?
Ww kuww tu makin ucje ukamtia
Kibom cha nyuklia
Dhuuu utampoteza kabsaaBomu la hiroshima linamfaa
Kiufupi hao unaotaka waliotulia na ambao si mabomu hawapo tena!Cha msingi ili usipate matatizo ya presha bure yeyote utakayempata elewa kwamba ni kicheche.Hiyo itakusaidia.Ninakwambia hivyo kwa sababu ya yaliyonikuta!!Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.