Kwekitui
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 1,070
- 1,083
Assalamu’alaikum warahmatullahi wabarakatuh
Ewe dada ndugu yangu fursa hii
Ni wakati murua sasa kwa mimi kijana wa kiume kuingia kwenye ibada ya kukamilisha ½ ya dini yetu ya kiislam.
Dada kama wewe ni mcha Mungu tafadhali njoo kwa mcha Mungu mwenzako tuyajenge na hatimaye tuishi kama mke na mume kwa misingi ya dini yetu tukufu..
SIFA
Muislam swala 05 aliyesoma Qur'an tukufu wa ki sunnah atapewa kipaombele
Ama pia mweupe mwarab/Mbongo
Mimi ni kijana miaka 30 kwa sasa na ni ninafanya kazi kwenye kampuni fulani hapa DSM
Nakukaribisha inbox
Ewe dada ndugu yangu fursa hii
Ni wakati murua sasa kwa mimi kijana wa kiume kuingia kwenye ibada ya kukamilisha ½ ya dini yetu ya kiislam.
Dada kama wewe ni mcha Mungu tafadhali njoo kwa mcha Mungu mwenzako tuyajenge na hatimaye tuishi kama mke na mume kwa misingi ya dini yetu tukufu..
SIFA
Muislam swala 05 aliyesoma Qur'an tukufu wa ki sunnah atapewa kipaombele
Ama pia mweupe mwarab/Mbongo
Mimi ni kijana miaka 30 kwa sasa na ni ninafanya kazi kwenye kampuni fulani hapa DSM
Nakukaribisha inbox