Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Mwenzangu ulikuwa utani tu ule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fursa hiyoo dada au ulishapata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzangu ulikuwa utani tu ule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fursa hiyoo dada au ulishapata?
Hahahhahhaaa basi ulijua kuchangamsha gengeMwenzangu ulikuwa utani tu ule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahhahhaaa basi ulijua kuchangamsha genge
Hatari mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Good
Watu waligonga mlango kweli kweli
Allah akufanyie wepesiDuh mimi muislamu ila kwenye swala uwe tayari kunihimiza kuswali
Vipi shehe wangu umeshapataAssalamu’alaikum warahmatullahi wabarakatuh
Ewe dada ndugu yangu fursa hii
Ni wakati murua sasa kwa mimi kijana wa kiume kuingia kwenye ibada ya kukamilisha ½ ya dini yetu ya kiislam.
Dada kama wewe ni mcha Mungu tafadhali njoo kwa mcha Mungu mwenzako tuyajenge na hatimaye tuishi kama mke na mume kwa misingi ya dini yetu tukufu..
SIFA
Muislam swala 05 aliyesoma Qur'an tukufu wa ki sunnah atapewa kipaombele
Ama pia mweupe mwarab/Mbongo
Mimi ni kijana miaka 30 kwa sasa na ni ninafanya kazi kwenye kampuni fulani hapa DSM
Nakukaribisha inbox
Mungu akufanyie wepesi. Kama haujapata si vibaya ukamuuliza Mwifwa alitumia njia ipi.Assalamu’alaikum warahmatullahi wabarakatuh
Ewe dada ndugu yangu fursa hii
Ni wakati murua sasa kwa mimi kijana wa kiume kuingia kwenye ibada ya kukamilisha ½ ya dini yetu ya kiislam.
Dada kama wewe ni mcha Mungu tafadhali njoo kwa mcha Mungu mwenzako tuyajenge na hatimaye tuishi kama mke na mume kwa misingi ya dini yetu tukufu..
SIFA
Muislam swala 05 aliyesoma Qur'an tukufu wa ki sunnah atapewa kipaombele
Ama pia mweupe mwarab/Mbongo
Mimi ni kijana miaka 30 kwa sasa na ni ninafanya kazi kwenye kampuni fulani hapa DSM
Nakukaribisha inbox
AmenAllah akufanyie wepesi