Natafuta mwanamke kwa ajili ya ndoa

Natafuta mwanamke kwa ajili ya ndoa

Mimi ni mwanaume mwenye miaka 28. Nina elimu ya chuo kikuu na mjasiriamali. Natafuta mwanamke mrembo mwenye nidhamu na mcha Mungu kwa ajili ya ndoa. Tafadhali ni-PM kwa aliye siriaz.

Tafadhali kabla hujaanza kupokea hizo CV nakushauri ujifunze kwanza nini maana ya ndoa....Kama unafikiri ndoa inaweza kuwekewa matangazo kumtafuta wa kuingia nae hapo sina msaada ila ndoa ni zaidi ya unavyodhani. Kama swala ni mke wako wengi sana tena nakushangaa kuja kutangaza huku wakati kila kona wapo. Mwisho nikutakie mafanikio kama unamaanisha.
 
Tafadhali kabla hujaanza kupokea hizo CV nakushauri ujifunze kwanza nini maana ya ndoa....Kama unafikiri ndoa inaweza kuwekewa matangazo kumtafuta wa kuingia nae hapo sina msaada ila ndoa ni zaidi ya unavyodhani. Kama swala ni mke wako wengi sana tena nakushangaa kuja kutangaza huku wakati kila kona wapo. Mwisho nikutakie mafanikio kama unamaanisha.

Ndugu nina akili timamu sijakurupuka. Ninajua nachofanya na sipo kimasihara
 
Wanawake wa njaa watakuja thread hii

avatar65641_5.gif
 
Back
Top Bottom