Natafuta mwanamke moja hapa mzaliwa wa marangu wa kuwowaa!

Natafuta mwanamke moja hapa mzaliwa wa marangu wa kuwowaa!

Eee le womi le!!siku hizi bora kuoa darasa la saba,hawana mambo mengi hamna strees

kweli ni wasikivu na hali ikiyumba wanaelewa, tatizo mtashindwa kushare expenses maisha yamekuwa mno magumu
 
Nipo SERIOUS, umri wangu ni miaka 28, nina elimu ya form 4, ni mwajiriwa serikalini, nahitaji aliye na umri usiozidi miaka 28, na awe amehitimu 4m 4 na kuendelea, dini yoyote, pls asiwe mfupi, wala mweusi. <br />
Nawasilisha.

Hung'oi mtoto wa kiMarangu na ajira ya serikalini wewee...una maduka mangapi ya spea? vifaa vya ujenzi?..unafanya bishara ganui basi angalau?!
 
Back
Top Bottom