Natafuta mwanamke mtu mzima

Natafuta mwanamke mtu mzima

muvike

Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Mimi ni kijana umri wangu ni 25 miaka ni mrefu naishi Dar es salaam natafuta mwanamke mtu mzima for relationship awe na umri usiopungua miaka 50,mwenyemuonekano safi na asiwe tegemezi.Nipo serious na hili na awe sio mke wa mtu.
 
mhm...safi mwana achana na hawa vitoto wanaringa na papuchi zao kama gold vile
 
Mimi ni kijana umri wangu ni 25 miaka ni mrefu naishi Dar es salaam natafuta mwanamke mtu mzima for relationship awe na umri usiopungua miaka 50,mwenyemuonekano safi na asiwe tegemezi.Nipo serious na hili na awe sio mke wa mtu.
Bangi si chakula kijana. Iwapo zimeanza kukutuma kumtafuta "mama" yako for relationship, jaribu kuziepuka
 
mimi ni kijana umri wangu ni 25 miaka ni mrefu naishi dar es salaam natafuta mwanamke mtu mzima for relationship awe na umri usiopungua miaka 50,mwenyemuonekano safi na asiwe tegemezi.nipo serious na hili na awe sio mke wa mtu.

maelezo meeengi!! Si useme tu kama unataka jimama
 
Miaka 25 unatafuta m/mke mwenye umri sawa na mama ako au alimzid mama ako, shame on you! unaonaje ukaanza na mama ako c mkubwa pia?
 
Mimi ni kijana umri wangu ni 25 miaka ni mrefu naishi Dar es salaam natafuta mwanamke mtu mzima for relationship awe na umri usiopungua miaka 50,mwenyemuonekano safi na asiwe tegemezi.Nipo serious na hili na awe sio mke wa mtu.

umefeli iv sasa unafeli na maisha acha uvivu wewe domo zege tu
 
Naona unatafuta laana. Yaani unatafuta kuzini na mzazi wako ama kweli azinie na mwanamke hana akili hata kidogo. Sikupatii picha unafananaje make kila nikifikiri nashindwa kabisaa kuamini we mtoto umepinda sio bure, walah unaumwa loh
 
Na wewe unagegeda wenye miaka 50.!

hahaha hapana ila naona itabidi niende upande huo maana hawa wa digitally sasa wanaona papuchi dili...wazee wanajua wanaume wanataka nini...they already over ile ishu ya sijui kupata prince charming
 
Mie nimefiwa na mume kwa ugonjwa wa kisasa. Ntafaa? Nimerithi maestate na malori ya kubeba mafuta.
 
Mpaka utawala wa wasanii na mafisadi upite tutaona mengi. Mi nimekuelewa kabisa. Kijana kaamua ko-resort kwa majimama yamlee amalize chuo. Laiti kama mikopo ya elimu ya juu ingekuwa bado regular haya tusingeyapata. Nakutakia kila la heri kijana.
 
Back
Top Bottom