Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
mi nilisikia group O anashare na yeyote au nilisikia vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nilisikia group O anashare na yeyote au nilisikia vibaya
Kwa kuandika huku hata mm najiuliza umevuta nini na umevutia wapi.hms gnikoms era saggin rehto tahw dnatsrednu tnod I semitemoS
Jana usiku nilivutishwa shisha wameweka bangi, ugoro, mint, maziwa na asali.Kwa kuandika huku hata mm najiuliza umevuta nini na umevutia wapi
Dah kweli mzee baba nimekubali, itakuwa ulivutia chooni halafuJana usiku nilivutishwa shisha wameweka bangi, ugoro, mint, maziwa na asali.
Tulikua na tupo beach mpaka sasa hiviDah kweli mzee baba nimekubali, itakuwa ulivutia chooni halafu
Duh shoo kaliTulikua na tupo beach mpaka sasa hivi
Hapo kwenye neno """kuShare""" likitumika kwenye haya mambo ya damu, halieleweki mzee.O ziko mbili O+ na O-, anayeshare na yeyote ni O- . Na Mimi niko na O-
Sasa unamtafuta Mwanamke mwenye ""Rhesus negative"" ili iwaje?Tatizo watanzania wengi atujui. Umuhim wa kupima damu.vitu Kama rh vinaleta tabu katika uzaz
Ahahahaaa...huna hoja.Ataenitafuta atajua
Hangover hii.hms gnikoms era saggin rehto tahw dnatsrednu tnod I semitemoS
Ya kukuwaza kwanini hunielewi.Hangover hii
Hawezi kujibu, amekariri...Sijui kaogopeshwa na nani![emoji2] atakuwa na yeye anataka kuogopesha wa kwake[emoji2]Vinaleta tabu gani mkuu??