ππππHebu nichek kule tujuane zaidi. Nami niko private kama wewe.
Halafu naomba utulie kwa muda makaburi yanafukuliwa.
N.B mtoa mada hajui kiswahili kwaiyo ujipange na kamusi za kutoshaππππ
Khaaa! Hiki kilugha ulijifunzia wapi?Anataka date na mdada mzuri wa JF wakwende zao Zanzibar, ila uwe mzuri na ukiwa mzuri zaidi hiyo itakuwa ni sifa ya nyongeza π
Na uwe muongeaji ktk masuala ya michezo, siasa za sisiemu, umbea wa watu maarufu,masuala ya biashara nk
Na uwe tayari kwa mambo yote wanayofanyaga wapenzi sio uende kama cutelove then baadae uje hapa kusema oh! Kaka yuko na papara, huyu katoa angalizo mapema ππ
Uwe tayari kupima ukimwi na umri wako uwe ni ule wa mchana mchana 24-27 yrs.
N.B mtoa mada hajui kiswahili kwaiyo ujipange na kamusi za kutoshaππππ
Kasisitiza hilo yaani mnakuwa kama mke na mme huku mkiwa na masweta yenu ya kizalendo.Mtalala chumba kimoja?
Useme hapa kabisa mambo ya kuja kuandikana jf hayapendezi[emoji1787]
Haya umeelewekaNot really, medium of communication will be Swahili. But one should be able to communicate in English, there are 2 business meetings I will attend with people who speaks English, and she should also be there as a spouse (a bit of). So she should not feel out of place due to language barrier.
Thank you.
Daaah tyr umeshayapatia maisha haraka kiasi hiko? Si ww juzi tuu ulikuwa unaomba 10k ya msosi?
View attachment 1197272
Cc Unforgetable
Gadeim! Hili kaburi hata la Nyerere cha mtoto...Daaah tyr umeshayapatia maisha haraka kiasi hiko? Si ww juzi tuu ulikuwa unaomba 10k ya msosi?
View attachment 1197272
Cc Unforgetable
British cancel πKhaaa! Hiki kilugha ulijifunzia wapi?
Tutafsirie basi... dah!Haya umeeleweka
Ahsante.
Kwa hiyo umeamua uende vacation na mchepuko sio mkeo?Life changes bro, if you are a real hustler. I was real in a hell sometimes back.
We don't chose to be in hell life, but it is our choice to remain there.
Marahaba mjukuu...British cancel π
Babu shikamoo
Huyu British alikuwa cancelled kule kinondoni.Marahaba mjukuu...
Hiyo British inakuwa cancelled wapi??
BTW nijiandae kupokea mahari kwa huyu mzembe au bado ukouko kwanza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...wapi kasema ye bwabwa?Life is choice.
If you can go through all my writings, you will know the concept.
BTW: You seem to be interested with this, I am straight to put things clear.
Wapi hukuelewa?Tutafsirie basi... dah!
Jamaa fala kweli kweli. Juzi tuu alikuwa anaomba msimbazi wa kula eti leo anatafuta wa kwenda naye vacation?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...wapi kasema ye bwabwa?
Ukiwa tayari uje nikukague kwanza. Usije ukanitia aibu ukweniHuyu British alikuwa cancelled kule kinondoni.
Haha babu me bado nipo nipo kwanza