Natafuta Mwanamke Mzuri

Jamaa fala kweli kweli. Juzi tuu alikuwa anaomba msimbazi wa kula eti leo anatafuta wa kwenda naye vacation?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

If you know one who fits the qualities. link her to me for 10% of her consideration.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...wapi kasema ye bwabwa?

Ha ha ha! I think I have over-analyzed his posts.

Extend my apology to him.
 
Umenisaidia..maana kusoma kote huu uzi na kujin'gata nimejin'gata sikuambulia chochote
 
Pamoja na kusaidia kufukua kaburi hili lakini bado kuna watu watajitosa kwenda kuchomoa betri huku wanavidumu vya petroli mkononi!

Baada ya ajali ya Moro, siku kadhaa mbele kuna gari lilianguka huko Ngara au Biharamulo, watu wakachota mafuta kama kawaida. Nadhani ililetwa humu JF.

Na siyo wote wataelewa maana ya hiyo tahadhari pia.
 
Umetafsiri vizuri
 
Mtoa mada, nice writing skills.

Constructive criticism: would you mind checking the use of words like "who" and "whom"???

All the best man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…