Natafuta mwanamke umri 38-42

Joined
Oct 24, 2017
Posts
9
Reaction score
4
Naitwa Joseph mwenye umri wa miaka 25, naishi Dar, ni mwajiriwa.

Natafuta mwanamke mwenye umri kuanzia 38-42, aliye tayari aniPM.

NB: Nimeamua nikiwa na akili timamu.
 
Kijana achana na mawazo ya kutaka kulelewa,fanya kazi,tafuta hela,hao wanawake unaowatafuta humu watapanga foleni wao wenyewe.
 
Ujasema unataka mmama wa umri huo wa kufanyaje !!?kuoa,kukusidia kazi za ndani au kukulea???
 
Write your reply...unataka kuoa bbibi ako kwa umri huo aseeee dunia ndo inaelekea kuisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…