devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 268
- 370
Hapana mkuu ..Mim na wapenda sana wanawake wanene ..Wewe Ni baunsa?
Wewe Ni baunsa?
Tumekukosea nini jamani πππVipi kuhusu sura??
Wanyakyusa mizigo huko nyuma wanayo kwelikweli ila sura ndo mazoezi.
πππ Ndo ukweli mkuu mi nimeish huko unyakyusani.Tumekukosea nini jamani πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeniwahi mkuuTukupe mnyakyusa wa kyela???
At ur own risk lakini[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli MtupuTumekukosea nini jamani πππ
Si kweli mkuu kuna pisi kali wengi tu, sura nzuri, chura kubwaa, rangi ya mtumeπUkweli Mtupu
Kwanini mnyakyusa?
Si kweli mkuu kuna pisi kali wengi tu, sura nzuri, chura kubwaa, rangi ya mtumeπ