Natafuta mwanamke wa Kinyakyusa toka Mbeya wa kuishi naye

Natafuta mwanamke wa Kinyakyusa toka Mbeya wa kuishi naye

🤣🤣🤣

Unasema uongo ndugu yangu.

Mimi binafsi namiliki pisi kali sana pale mbeya madukani kama unaelekea mbozi
Tunaposema wachaga/wakinga ni wataftaji hatumaanishi kila mchaga/mkinga ni mtaftaji hata wavivu wapo humo humo ila tu kwakua wengi ni wataftaji basi wanawabeba hata wale wavivu.

Vivyo hivyo kwa wanyaki, wengi wao sura ni ngumu kumeza ila shape vera sidika. Na hao wanyaki wa town ndo wale maza au mdingi ni kutoka kabila jingine sio unyakyusani pure.
 
Ukimpata utazamia huko huko Kuna Mhindi alikuwa huko Patel alioa Mnyakyusa mpaka akajiita Kaka Banyambala
 
Mimi nina miaka 34, natafuta mwanamke wa kinyakyusa aliye mnene na mrefu.

Umri wowote. Nataka ambaye mbaye yupo tayari kuanza maisha ya kindoa hata kama ana mtoto. Nipo Songea.

Namba yangu ni 0744903557
dah kabila limeninyima mume.
 
Back
Top Bottom