neurosurgeon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 369
- 351
nyie ndo wachoma visu nyieNina sifa ya upole saanaaa..
Nina sifa ya upole saanaaa..
nyie ndo wachoma visu nyie
Nyinyi kama nyinyi Mnaonaje??Diesel/ Petrol?
Abigail unajua unaweza kukosa kuolewa kwa kushindwa kutofautisha kati ya ninyi na nyinyi hapo ilibidi useme ninyi sio nyinyi.Nyinyi kama nyinyi Mnaonaje??
Umemtafuta Kajala au mwanaye?Naitwa John natafuta mwanamke aliyepevuka na mwenye upendo.
Sifa zangu:
Nina upendo wa dhati
Najituma
Nimsikivu na mwelewa
Sipendi kelele🤣🤣🤣
Niko simple Sana.
Sifa za nimtakaye:
Awe na upendo
Mpole sanaaa
Muelewa na awe simple tu kama Mimi
Mawasiliano yangu
+254781847643. (WhatsApp)
+255755938804.
Huko kwenu wakikosea maandishi kama hivo na ndoa hakuna..si ndio?Abigail unajua unaweza kukosa kuolewa kwa kushindwa kutofautisha kati ya ninyi na nyinyi hapo ilibidi useme ninyi sio nyinyi.
Maelezo hayatoshi,,wasifu wakoNaitwa John natafuta mwanamke aliyepevuka na mwenye upendo.
Sifa zangu:
Nina upendo wa dhati
Najituma
Nimsikivu na mwelewa
Sipendi kelele🤣🤣🤣
Niko simple Sana.
Sifa za nimtakaye:
Awe na upendo
Mpole sanaaa
Muelewa na awe simple tu kama Mimi
Mawasiliano yangu
+254781847643. (WhatsApp)
+255755938804.
kama si ndio basi ni sioHuko kwenu wakikosea maandishi kama hivo na ndoa hakuna..si ndio?
Nina sifa ya upole saanaaa..
Hujauliza ""UNA HELA?""Vigezo ndiyo hivo ama kuna vingine?
Hana helaVigezo ndiyo hivo ama kuna vingine?
Ebu subirini kidogo washona sare, Bila pesa humo ndani tutakula mawe😂😂Hana hela
Hana gari
Anataka mwanamke mwenye true love. 😂
Utawezana? Tuanze kuandaa sare 🤗
Yaan ungemPM chapNina sifa ya upole saanaaa..
Unataka pesa dada upole unao? 😂 mtoa mada hapendi makeleleEbu subirini kidogo washona sare, Bila pesa humo ndani tutakula mawe😂😂
Muulize hataki chura na camel toe[emoji1][emoji1]Vigezo ndiyo hivo ama kuna vingine?