Natafuta mwanamke wa kuchati naye "LOVE sms".

nkongu ndasu

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
22,532
Reaction score
6,624
Habari zenu wana jf! Mimi ni mwanaume rijali na nina miaka 26: ninatafuta rafiki wa kike mwenye umri wa kuanzia miaka 20-35! Awe mwenye uwezo wa kuchat love-sms kwa muda wowote unaotakiwa, pia haijalishi awe ameolewa au hajaolewa! Pia awe mtu mwenye uelewa na anayejitambua! Kwa yeyote aliye tayari ani PM! Karibuni!
 
Wewe Jamaa kwani kuchati Ndio nini, au suruali tu.....
 
Ipo tofauti kubwa kati ya mwanaume na mvulana
 
Munataka kupandishana mizuka halafu mutasikia tutembeleane basi ,halafu tugegedane basi kizazi cha .com bana haya wasubiri sex girls watakuja
 
ninawasiwasi utakua domo zege unataka akufundishe kutongoza
 
Nenda facebook wapo wengi tu.
 
kaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!! Huyu naye anajiita rijali dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…