Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,572
- 5,945
Naona hukai mbali na fursa ya kuwa agent😂Una penda🤣😂😂😂, nifuge Kama samaki Sasa🤣😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hukai mbali na fursa ya kuwa agent😂Una penda🤣😂😂😂, nifuge Kama samaki Sasa🤣😂😂
Acha kutia hurumaa, jipambanie 😂🤣🤣Ana wivu, nilivyompa salam tu akachungulia akasepa kimya kimya. Dahan, Intelligent businessman
Mtaalamu wa hizi kazi😂🤣🤣Agent kama agent, 😂😂😂
rabbitus Ina bidi aelewe Kuna ka commission Ina bidi alipe😂🤣Naona hukai mbali na fursa ya kuwa agent😂
Huyo kwenye avatar ni wewe?Niko hapa[emoji847]
Jichanganye tuu upigwe za uso na Intelligent businessman 😂😂😂😂😂Kiasi gani? Name it bro ilimradi nimpate huyu binti Dahan
Itabidi niitishe kikao Cha Wana bodi😂🤣🤣. DahanKiasi gani? Name it bro ilimradi nimpate huyu binti Dahan
Usizungumze nae, any flirting bila kulipa bargaining fee😂🤣Jichanganye tuu upigwe za uso na Intelligent businessman 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 Yanii we kwenye pesa unaeza gawa yeyote yule hakii😂😂Itabidi niitishe kikao Cha Wana bodi😂🤣🤣. Dahan
👉Maana huyo ni team chama Cha wezi😂🤣, so Waite ndugu zake National Anthem, Analyse, Mzee wa kupambania, @mwachiluwi,Ms eyes, Babu Mwehu ili tu bargain😂🤣
Kwaio unataka kumpiku mleta uzi Mzee wa Njunju 😀😀😀Sawa mie natanguliza ya kutolea, mahali itafataView attachment 2669177
Utafika mbali Sana rabbitus 😂😂, sema hzi ni pre annual 😂🤣.Sawa mie natanguliza ya kutolea, mahali itafataView attachment 2669177
Hi ni system, halafu ngoja nakumbuka ulisema siwezi kuwa billionaire ehh🤔Agent maliza tu, lete invoice tu kwangu🤣🤣
Kaa nazo. Ili tutengeneze kina musk na bezos wengi🤣😂😂Nipe huyo binti walah nitakuonyesha njia za kuwa bilionea chap kwa haraka. Dahan
Nakwama Tena🤔🤣😂, Hebu kula kwanza🤣😂😂We agent unakwama sasa
Umeamua kuniozesha kwa mara ya 7 sasa😂😂😂😂😂
Dahan wetu hawezi akachukuliwa bila team kuwa na taarifa 😀Itabidi niitishe kikao Cha Wana bodi😂🤣🤣. Dahan
👉Maana huyo ni team chama Cha wezi😂🤣, so Waite ndugu zake National Anthem, Analyse, Mzee wa kupambania, @mwachiluwi,Ms eyes, Babu Mwehu ili tu bargain😂🤣
Ngoja kamati ikae kwanza. Kibunda kipo? 😅Fanyeni wepesi jamani, limoyo langu limemdondokea huyu Dahan