Natafuta Mwanamke wa kuoa ambaye ana hizi sifa

Natafuta Mwanamke wa kuoa ambaye ana hizi sifa

CELLULAIRE

Member
Joined
Mar 16, 2016
Posts
76
Reaction score
97
1. si mpenda pesa
2. si mwenye dharau
3. si mwana wa shetani
4. si muongo na mbabaishaji
5. si malaya / muhuni
6. si mwizi na mchawi
7. si mpumbavu na mnafiki

wasifu wangu kiufupi

majina: cellulaire mjukuu chirama
dini: mkristo wa dhehebu la katoliki
kabila: myao kutoka mkoani lindi
umri: miaka 38
elimu: shahada ya kwanza ya mawasiliano
niishipo: mwenge mlalakuwa
kazi: kilimo biashara japo sasa nimesimama kwa muda kutokana na Mafuriko Mikoani
mahusiano: sasa sina
familia: nina mtoto mmoja ila hayuko tanzania

kwa mwanamke yoyote yule ambaye atavutiwa na haya maelezo yangu ya ukweli na moyo wake utamsukuma kufahamiana zaidi nami ili basi tukiridhiana tuwe pamoja kiurafiki, kiuchumba na kindoa awasiliane nami kupitia email hii ya chiramamjukuu@gmail.com na aache na namba yake ya simu pia.

mwisho kabisa nitaomba kama unaona huna huhitaji wa dhumuni langu kuu hapa basi nakuomba usinitafute kwa nia ya kunipotezea muda au kunisumbua akili bali wapishe wale wenye nia ya kweli ili mwisho wa siku tuje kuushukuru huu mtandao kwa kutufungulia dunia kimahusiano zaidi.

nawakaribisha zaidi wanawake kutokea mkoa wa dar es salaam na ile ya jirani ya Pwani, Morogoro na Tanga wenye umri wa kuanzia miaka 35 hadi 45 tu. kama kuna muislamu lakini aliye tayari kubadili dini kama akiridhika nami nae pia namkaribisha bila hiyana.

asanteni.
 
Utatafuta dunia nzima hutomuona huyo mwanamke.

Wanawake hawajaumbiwa shida kupenda pesa sawa na uchafu na nzi.

naamini na nina uhakika kuwa nitampata tu mkuu kwani hakuna kinachoshindikana duniani na sidhani kama ni vyema kuhalalisha mapungufu ya wanawake wachache ambao pengine wewe umeshakutana nao basi ukayahalalisha kwa wanawake wote.
 
Miaka 35 duh? Anataka waliofika menopause anyways rakheri kwake.[emoji17]
Yupo kimkakati huyu wanawake wengi wenye huo umri na hawajaolewa plus pia ni masingle mother wengi wako desperate Sana

So ukiingia kwa gia ya ndoa kuwanasa ni rahisi na kingine wengi wako vizuri kiuchumi hitaji lao kuu ni faraja kuwatolea upweke

Jamaa anatafuta kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatafuta viumbe havipo duniani

Sent using GunTrigger
 
1. si mpenda pesa
2. si mwenye dharau
3. si mwana wa shetani
4. si muongo na mbabaishaji
5. si malaya / muhuni
6. si mwizi na mchawi
7. si mpumbavu na mnafiki

wasifu wangu kiufupi

majina: cellulaire mjukuu chirama
dini: mkristo wa dhehebu la katoliki
kabila: myao kutoka mkoani lindi
umri: miaka 38
elimu: shahada ya kwanza ya mawasiliano
niishipo: mwenge mlalakuwa
kazi: kilimo biashara japo sasa nimesimama kwa muda kutokana na Mafuriko Mikoani
mahusiano: sasa sina
familia: nina mtoto mmoja ila hayuko tanzania

kwa mwanamke yoyote yule ambaye atavutiwa na haya maelezo yangu ya ukweli na moyo wake utamsukuma kufahamiana zaidi nami ili basi tukiridhiana tuwe pamoja kiurafiki, kiuchumba na kindoa awasiliane nami kupitia email hii ya chiramamjukuu@gmail.com na aache na namba yake ya simu pia.

mwisho kabisa nitaomba kama unaona huna huhitaji wa dhumuni langu kuu hapa basi nakuomba usinitafute kwa nia ya kunipotezea muda au kunisumbua akili bali wapishe wale wenye nia ya kweli ili mwisho wa siku tuje kuushukuru huu mtandao kwa kutufungulia dunia kimahusiano zaidi.

nawakaribisha zaidi wanawake kutokea mkoa wa dar es salaam na ile ya jirani ya Pwani, Morogoro na Tanga wenye umri wa kuanzia miaka 35 hadi 45 tu. kama kuna muislamu lakini aliye tayari kubadili dini kama akiridhika nami nae pia namkaribisha bila hiyana.

asanteni.
Tangazo lako limesomeka bro
 
Back
Top Bottom