Natafuta mwanamke wa kuoa kwa mkataba wa miezi tisa

Natafuta mwanamke wa kuoa kwa mkataba wa miezi tisa

mkuu samahani unamali gani mpaka sasa? biashara zikoje?

halfu mfano ukiitwa na bwana huku na mimba yako uhakika wa mwanao kuishi bila shida inakuwaje? je utaandikisha mirathi?
Uhakika Upo wa kutosha kwa mwanangu na mamake,wazima kwanza wawe na bima ya afya kwanza.. Kuhusu Mali zipi hapo sio nyingine saana tu as in nmewekeza kwenye real estate.!!
 
Sasa mkataba wa miezi tisa akishazaa huyo mtoto inakuaje baada ya mkataba kuisha na hujampenda mkaachana? Ushawai kufikria mtoto kukaa na wazazi tofauti?
Nilishawai kulifikilia na ninaliishi...kwenye maisha ya kukariri Uko nilishatoka.
 
Uhakika Upo wa kutosha kwa mwanangu na mamake,wazima kwanza wawe na bima ya afya kwanza.. Kuhusu Mali zipi hapo sio nyingine saana tu as in nmewekeza kwenye real estate.!!
real estate haya mkuu nakujia pm sasa hivi
 
Jf ina mengi tena atapata usione wamepita kimya.

Wenye nia mkwende pm huyu ni mbwembwe tu hakuna cha mkataba wala nini ukijiongeza ndo mazima
 
14705090_1344154428963254_7170850283273060352_n.jpg
 
Sisi sio watu wa kuchezea chezea mnavofikir nyie....
 
Ebwana ndugu hii nimeipenda lazima wanawake wanajifanya wakiolewa ndo wamefika inawahusu mno lazima wachangamke bila ya hivyo kwenu 100% nyambafuu. Japo cjui kam watajitokeza hapa huu mkataba zaidi ya...nonino
 
Mmmmmh,sasa unataka mtu wakukuzalia mtoto? mkisha malizana inakuwaje anachukua mwanawe au anamuacha hapo?
 
Mmmmmh,sasa unataka mtu wakukuzalia mtoto? mkisha malizana inakuwaje anachukua mwanawe au anamuacha hapo?
Tunapokezana mkuu,kikubwa sio kunizalia kikibwa sipendi ndoa za bugudha tukzinguana kila mtu anachukua time zake...
 
Back
Top Bottom