Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri 42-50 ambaye yupo serious

Mwenzangu kumbe 42 bado?
 
Tunaweza kuamua kuwa wastaarabu kiasi!
Kila bandiko lianawahusu watu fulani,sio lazima kujibu kila kitu.kuna watu wanajifanya kutoa ushahuri wakati
mwennye hoja yake yamkini anayajua hayo yote kabla ya kuleta hoja.
Anatafuta mke anaambiwa eti mbona umri umekwenda! Mara ujana ulikula na nani!
Kama hoja unaona haikuhusu ni vema kukaa Kimya,kwani nako ni busara tosha!, maswali ya aina hiyo wacha yaulizwe na wahusika kwenye PM zao.
 
Wapo watu wazima, wengine hawajaolewa wengine wajane. Nafikiri hamna shida.
 
We utakua na stress za mahusiano, km hana hyo shahada c mtafute umhoji! Af kuwa na watoto haimaanishi ndo kuwa na mke, Ali Kiba ana watoto wangapi? Mwanaume anaweza kuoa hata akiwa na miaka 70 na akazaa hawanaga menopose. Pi mwanaume kwa miaka 45 bado kijana, kwabaadhi ya makabila ndo muda wa kuongeza mke wa tatu, sema alichokosea mtoa tangazo ameenda mbali mno, hadi 50? Age diff ni 5 to 10 yrs, so hata 35 kuendelea anaweza oa.
 
mbona unaandika kwa Jazba hivi? Kuna tatizo kwani
 

Wewe mwanamke una matatizo sio bure. Mwenzako anatafuta mwenza wewe unaleta uswahili.
 
Mkuu vp ulifanikiwa? Tupe bac mrejesho ili tushauriane pia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…