Natafuta mwanamke wa kuoa (serious)

jamani nimesha kosa bahati umri umeniangusha! nina miaka 31 unaweza kunifikiria hata kidogo
dini nayo kizungumkuti
 
natafuta mke miaka yangu ni 30 niko dodoma, ni mchagga. awe na elimu angalau kidato cha nne na awe serious kweli kwenye uhusiano na pia awe tayar kwa utambulisho kabla ya mambo mengine sichagui rangi wala kabila aliye serious kweli ani pm.

Sent
 
natafuta mke miaka yangu ni 30 niko dodoma, ni mchagga. awe serious kweli kwenye uhusiano na pia awe tayar kwa utambulisho kabla ya mambo mengine sichagui rangi wala kabila aliye serious kweli ani pm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafuta mke miaka yangu ni 30 niko Dodoma, awe serious kweli kwenye uhusiano na pia awe tayari kwa utambulisho kabla ya mambo mengine sichagui rangi wala kabila aliye serious kweli ani pm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…