ni in box plznatafuta mke miaka yangu ni 30 niko dodoma, ni mchagga. awe serious kweli kwenye uhusiano na pia awe tayar kwa utambulisho kabla ya mambo mengine sichagui rangi wala kabila aliye serious kweli ani pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inbox plsnatafuta mke miaka yangu ni 30 niko dodoma, ni mchagga. awe serious kweli kwenye uhusiano na pia awe tayar kwa utambulisho kabla ya mambo mengine sichagui rangi wala kabila aliye serious kweli ani pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
plz niko serious kuliko maelezo ndguYupo kama upo serious np
Kwa masharti hayo nenda kwenye nyumba za ibada.....hapa utavamia nungayembe uishie kujuta maisha yako yote....Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 ni mzaliwa wa Moshi ila kwa sasa niko Dodoma kikazi natafuta mwanamke ambaye yuko tayari kuishi na mimi maisha yoyote yale. VIGEZO vyangu nikuwa awe na umri kuanzia miaka 23 had 27 awe mkristo na awe mcha MUNGU. Kwa yeyote aliye tayari na aliye serious ani pm plz. Swal lolte litajibiwa.
kama bado hujapata mi nakuja pm nowMimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 ni mzaliwa wa Moshi ila kwa sasa niko Dodoma kikazi natafuta mwanamke ambaye yuko tayari kuishi na mimi maisha yoyote yale. VIGEZO vyangu nikuwa awe na umri kuanzia miaka 23 had 27 awe mkristo na awe mcha MUNGU. Kwa yeyote aliye tayari na aliye serious ani pm plz. Swal lolte litajibiwa.
Kama ujapata ni email hapa namba yako nikupe binti mchaga mwenzio ila umuoe sio utie na umuachenatafuta mke miaka yangu ni 30 niko dodoma, ni mchagga. awe na elimu angalau kidato cha nne na awe serious kweli kwenye uhusiano na pia awe tayar kwa utambulisho kabla ya mambo mengine sichagui rangi wala kabila aliye serious kweli ani pm.
Sent