Natafuta mwanamke wa kuoa (serious)

Natafuta mwanamke wa kuoa (serious)

Kila la kheri.

To accomplish much you must first lose everything..
 
Kama pochi inapumua vizuri sema nikuitie Miss chagga
 
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 ni mzaliwa wa Moshi ila kwa sasa niko Dodoma kikazi natafuta mwanamke ambaye yuko tayari kuishi na mimi maisha yoyote yale. VIGEZO vyangu nikuwa awe na umri kuanzia miaka 23 had 27 awe mkristo na awe mcha MUNGU. Kwa yeyote aliye tayari na aliye serious ani pm plz. Swal lolte litajibiwa.
Kwa masharti hayo nenda kwenye nyumba za ibada.....hapa utavamia nungayembe uishie kujuta maisha yako yote....
 
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 ni mzaliwa wa Moshi ila kwa sasa niko Dodoma kikazi natafuta mwanamke ambaye yuko tayari kuishi na mimi maisha yoyote yale. VIGEZO vyangu nikuwa awe na umri kuanzia miaka 23 had 27 awe mkristo na awe mcha MUNGU. Kwa yeyote aliye tayari na aliye serious ani pm plz. Swal lolte litajibiwa.
kama bado hujapata mi nakuja pm now
 
natafuta mke miaka yangu ni 30 niko dodoma, ni mchagga. awe na elimu angalau kidato cha nne na awe serious kweli kwenye uhusiano na pia awe tayar kwa utambulisho kabla ya mambo mengine sichagui rangi wala kabila aliye serious kweli ani pm.

Sent
Kama ujapata ni email hapa namba yako nikupe binti mchaga mwenzio ila umuoe sio utie na umuache

Mstaarabu92@yahoo.com

Ntakupa history ya maisha yake pia kwa kifupi.
 
sorry nmechelewa but nmetuma kwenye email yako.sijuh kama umepata. niko serious mkuu kuliko unavyofikiria
 
Back
Top Bottom