WOLF SEPTICEMIA
Senior Member
- Dec 11, 2017
- 168
- 102
Tunajua shida hao hajitambiui mkuuHivi nyinyi mnaotafutaga wachumba kutongoza hamjui au vipi sina hakika kama mnafanikiwaga kwa njia hii
Staki wa kunununa mkuuHivi nyinyi mnaotafutaga wachumba kutongoza hamjui au vipi sina hakika kama mnafanikiwaga kwa njia hii
Una shilingi ngapi?
Nashukuru mkuuMungu atakusaidia utapata
Mbona hujaweka vigezo mkuu aweza kuja mrefu kumbe we unamtaka anduje, au aje mweusi kumbe unataka mwarabu kokoNashukuru mkuu
Mkuu nimepitia mengi nimeumizwa sana kufkia mpk naandka hapa no vigezo vingi cha msingi awe anajitambua na mwenye maono ya maishaMbona hujaweka vigezo mkuu aweza kuja mrefu kumbe we unamtaka anduje, au aje mweusi kumbe unataka mwarabu koko
Mkuu bado hawajakupigia?Mkuu nimepitia mengi nimeumizwa sana kufkia mpk naandka hapa no vigezo vingi cha msingi awe anajitambua na mwenye maono ya maisha
Mkuu naona wanabpu napiga hawapokei it seems hawapo seriousMkuu bado hawajakupigia?
Mkuu uvumilivu wa hali ya juu unahitajika. Hata ivo mi nina mashaka na upatikanaji wa mwanamke humu. Labda wa kujifurahisha siyo wa ndoa. Lakini usikate tamaa.Mkuu naona wanabpu napiga hawapokei it seems hawapo serious
Aisee mkuu mi nipo serious kabisa ndo maana nikasema mwanamke ambaye yupo serious anipigie au abp ntapiga staki wa kijifurahishaMkuu uvumilivu wa hali ya juu unahitajika. Hata ivo mi nina mashaka na upatikanaji wa mwanamke humu. Labda wa kujifurahisha siyo wa ndoa. Lakini usikate tamaa.
Haya ubarikiwe. Watakuja tu.Aisee mkuu mi nipo serious kabisa ndo maana nikasema mwanamke ambaye yupo serious anipigie au abp ntapiga staki wa kijifurahisha
Ok sawa mkuu ntashukuru piaHaya ubarikiwe. Watakuja tu.
Sawa mkuuKila la kheri
Single mothers wana nafasi??Mkuu nimepitia mengi nimeumizwa sana kufkia mpk naandka hapa no vigezo vingi cha msingi awe anajitambua na mwenye maono ya maisha
It doesn't matter cha msingi ajitambue na awe anajua nn maana ya maishaSingle mothers wana nafasi??