Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

WOLF SEPTICEMIA

Senior Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
168
Reaction score
102
Habari jf kwanza kabisa napenda kutoa shukurani kw mungu mpk now nipo mzima wa afya nanyi natumai mu wazima kama nilivyosema natafuta mwanamke wa kuishi nae umri wake awe na 25 +..... 30 pia awe mkristu mm nafanya kazi nimeajiliwa plz kama upo tayari contact me 0742713444 ahsanteni naomba kuwasilisha
 
Mbona hujaweka vigezo mkuu aweza kuja mrefu kumbe we unamtaka anduje, au aje mweusi kumbe unataka mwarabu koko
Mkuu nimepitia mengi nimeumizwa sana kufkia mpk naandka hapa no vigezo vingi cha msingi awe anajitambua na mwenye maono ya maisha
 
Mkuu uvumilivu wa hali ya juu unahitajika. Hata ivo mi nina mashaka na upatikanaji wa mwanamke humu. Labda wa kujifurahisha siyo wa ndoa. Lakini usikate tamaa.
Aisee mkuu mi nipo serious kabisa ndo maana nikasema mwanamke ambaye yupo serious anipigie au abp ntapiga staki wa kijifurahisha
 
Back
Top Bottom