Natafuta mwanamke wa kuoa

Kama single mother basi angalau mwanao awe handsome au beautiful na sio kinyume chake[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hutaki kuharibu cv
 
Nioe mimi, mahari tutashea
 
Nioe mimi, mahari tutashea
 
Kaf
Mkuu uvumilivu wa hali ya juu unahitajika. Hata ivo mi nina mashaka na upatikanaji wa mwanamke humu. Labda wa kujifurahisha siyo wa ndoa. Lakini usikate tamaa.
Kafungua Uzi kashaumizwa Tayari Tena balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…