Ruqaiyah
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 1,118
- 1,483
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hutaki kuharibu cvKama single mother basi angalau mwanao awe handsome au beautiful na sio kinyume chake[emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hutaki kuharibu cvKama single mother basi angalau mwanao awe handsome au beautiful na sio kinyume chake[emoji23] [emoji23]
Usikute wanasita wakifikiria ule ushauri wa mwenzaoMkuu naona wanabpu napiga hawapokei it seems hawapo serious
Mmh hiki kigezo utakipimaje mkuuIt doesn't matter cha msingi ajitambue na awe anajua nn maana ya maisha
Nitaomba mrejesho, teh!Kuja PM..... Nikufanyie interview
Upi mkuuNitaomba mrejesho, teh!
Hata kauli tu imtokayo mtu inaweza mtambulisha vyemaMmh hiki kigezo utakipimaje mkuu
Nioe mimi, mahari tutasheaHabari jf kwanza kabisa napenda kutoa shukurani kw mungu mpk now nipo mzima wa afya nanyi natumai mu wazima kama nilivyosema natafuta mwanamke wa kuishi nae umri wake awe na 25 +..... 30 pia awe mkristu mm nafanya kazi nimeajiliwa plz kama upo tayari contact me 0742713444 ahsanteni naomba kuwasilisha
Nioe mimi, mahari tutasheaHabari jf kwanza kabisa napenda kutoa shukurani kw mungu mpk now nipo mzima wa afya nanyi natumai mu wazima kama nilivyosema natafuta mwanamke wa kuishi nae umri wake awe na 25 +..... 30 pia awe mkristu mm nafanya kazi nimeajiliwa plz kama upo tayari contact me 0742713444 ahsanteni naomba kuwasilisha
Hata mimi nausubiri...... I hope hata sahau kuuleta[emoji4]Nitaomba mrejesho, teh!
Aisee Pole sana Ndio huyu umempata Anakutesa??? Wadada Muwe Na Huruma Kwa Kaka zenuMkuu nimepitia mengi nimeumizwa sana kufkia mpk naandka hapa no vigezo vingi cha msingi awe anajitambua na mwenye maono ya maisha
Kafungua Uzi kashaumizwa Tayari Tena balaaMkuu uvumilivu wa hali ya juu unahitajika. Hata ivo mi nina mashaka na upatikanaji wa mwanamke humu. Labda wa kujifurahisha siyo wa ndoa. Lakini usikate tamaa.