Dar nzima haujaona wa kumuoa ? Umeshindwa kwenda ata pale kariakoo au mlimani City usimame na uchague hitaji la moyo wako kweli mkuu?Habari wana jamvi ! Mimi ni kijana wa kiislamu nimesoma mpaka Master's Degree ni mtumishi wa Umma . Ninaishi Dar .Natafuta mwanamke mwembamba mrefu awe mweupe au maji ya kunde.kwa aliye tayari anichek kupitia 0692490341 . Nipo serious wala sitanii .