Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

mlossy

Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
40
Reaction score
34
Habari wana jamvi ! Mimi ni kijana wa kiislamu nimesoma mpaka Master's Degree ni mtumishi wa Umma . Ninaishi Dar .Natafuta mwanamke mwembamba mrefu awe mweupe au maji ya kunde.kwa aliye tayari anichek kupitia 0692490341 . Nipo serious wala sitanii .
 
Ndoa au uhusiano unaoanzishwa wakati wa ramadhani huwa haudumu, jadili!
 
Habari wana jamvi ! Mimi ni kijana wa kiislamu nimesoma mpaka Master's Degree ni mtumishi wa Umma . Ninaishi Dar .Natafuta mwanamke mwembamba mrefu awe mweupe au maji ya kunde.kwa aliye tayari anichek kupitia 0692490341 . Nipo serious wala sitanii .
Dar nzima haujaona wa kumuoa ? Umeshindwa kwenda ata pale kariakoo au mlimani City usimame na uchague hitaji la moyo wako kweli mkuu?


Au Mdomo mzitooo?( Timbulo)
 
Mungu akupe hitaji la moyo wako mkuu
 
Back
Top Bottom