Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Huwa siamini sana watu wanaotafuta wake/waume mitandaoni. Kama siyo mchawi basi ni kikojozi.
Mh huwezi jua,kama waliopo mtaani ndo walioko huku sidhani kama ni makosa

Wala sioni kama kuna ubaya coz unaweza pata mtu sahihi humuhumu afu usiamini pia wapo na wasio sahihi pia humuhumu

Ni sawa tu na mtaani msafara wa mamba na kenge hawakosekani binafsi naamini mahusiano huanza popote muhimu kumsoma mtu ukionana naye na kuwa na msimamo japo wapo wanaofake kuonekana wema kumbe wabaya ni ngumu sana kuwatambua hata huko mitaani wapo

Ni kuomba neema ya Mungu ituongoze tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mawili ni kikojozi au mchawi.
Mh huwezi jua,kama waliopo mtaani ndo walioko huku sidhani kama ni makosa

Wala sioni kama kuna ubaya coz unaweza pata mtu sahihi humuhumu afu usiamini pia wapo na wasio sahihi pia humuhumu

Ni sawa tu na mtaani msafara wa mamba na kenge hawakosekani binafsi naamini mahusiano huanza popote muhimu kumsoma mtu ukionana naye na kuwa na msimamo japo wapo wanaofake kuonekana wema kumbe wabaya ni ngumu sana kuwatambua hata huko mitaani wapo

Ni kuomba neema ya Mungu ituongoze tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha papara wewe, umesema huu uzi nafanya nini mimi kama mwanaume nami nimekuuliza aliyeandika huu uzi ni KE?

Mbona akili yako inakosa umeme wa kutosha!
Au wewe wale mlokua mnatafutwa na makonda?. Mwanaume unakuaje na vijembe ?
 
Back
Top Bottom