Natafuta mwanamke wa kuoa

Hivyo vigezo vyako unataka viwe vya kila mtu!!!


Umesema kweli my imaginary wife to be ila la kuwa na mtoto ni gumu na ni suala mtambuka ambalo nafikiri halina chama,na hili la kutoa au kutotoa mimba hakuna uwezo wa kulitambua,au niseme mimi ujuzi wangu wa kulitambua ni finyu kidogo
 
Sasa husband to be kwahiyo hawa wanangu watatu niwapeleke wapi?
Umesema kweli my imaginary wife to be ila la kuwa na mtoto ni gumu na ni suala mtambuka ambalo nafikiri halina chama,na hili la kutoa au kutotoa mimba hakuna uwezo wa kulitambua,au niseme mimi ujuzi wangu wa kulitambua ni finyu kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…