JOESKY
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 816
- 2,034
Habari zenu wanajukwaa?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo Dodoma mjini. Nina shahada ya kwanza ya ualimu ila sijabahatika kuajiriwa. Natafuta mwanamke wa kuishi naye maisha ya ndoa awe ni mcha Mungu na awe na miaka kati ya 24 na 30.
Mwanamke mwenye mtoto mmoja anatakiwa awe na kazi yaani ameajiriwa au amejiajiri asiye na mtoto hata asipokuwa na kazi.
Sifa za ziada
.Awe mzuri kitabia
.Awe muwazi na mkweli
. Awe mvumilivu
.Awe na mapenzi ya dhati
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo Dodoma mjini. Nina shahada ya kwanza ya ualimu ila sijabahatika kuajiriwa. Natafuta mwanamke wa kuishi naye maisha ya ndoa awe ni mcha Mungu na awe na miaka kati ya 24 na 30.
Mwanamke mwenye mtoto mmoja anatakiwa awe na kazi yaani ameajiriwa au amejiajiri asiye na mtoto hata asipokuwa na kazi.
Sifa za ziada
.Awe mzuri kitabia
.Awe muwazi na mkweli
. Awe mvumilivu
.Awe na mapenzi ya dhati