Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kila lakheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibie[emoji8]Duh kumbe ulinipa no sikuiona jamani babe[emoji8] nakutext soon
Abee😍Bibie[emoji8]
Natamani nisikie sauti yako tamu kama ya queen Elizaberth wa uingereza enzi zake akiwa kijana [emoji39][emoji8]Abee[emoji7]
Ungejua nilivo na sauti baya mkuu wala hata usingetamani kuniskia😀Natamani nisikie sauti yako tamu kama ya queen Elizaberth wa uingereza enzi zake akiwa kijana [emoji39][emoji8]
Sauti ya kinyakyusa.Ungejua nilivo na sauti baya mkuu wala hata usingetamani kuniskia[emoji3]
Ewaaa sauti flani hivi ya zege ama kokoto😀😀Sauti ya kinyakyusa.
Nilijua lazima nikukute humuHi dear! Acha tutakane tu bana[emoji3] afu sijakuona mda, uko poa?
Mbona unaniandama lkn! Ndiyo maana huachi pombe hivoNilijua lazima nikukute humu
We mwanamke mzimaa? Bado upo mjini hivi!Mbona unaniandama lkn! Ndiyo maana huachi pombe hivo
Mi mzima vipi wewe? Ndiyo nipooWe mwanamke mzimaa? Bado upo mjini hivi!
[emoji1][emoji1] hiyo hiyo me naitaka naamini itanifaa,, mama kuwa na moyo uliopondeka ili ule raha duniani mpaka uhisi upo sayari mpya inaitwa sayari ya mahaba,,, chukua hatua mapema malkiaUngejua nilivo na sauti baya mkuu wala hata usingetamani kuniskia[emoji3]
Habari naitwa Rose nina miaka 27 kabila mpare nipo Bagamoyo nitumie no yako ya WhatsappMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Elimu yangu ni bachelors degree.
Ni mwajiriwa na nimejiajiri pia. Dini yangu ni Mkristo.
Nahitaji mke mwenye umri wa miaka 20-32. Dini awe mkristo
Habari naitwa Rose nina miaka 27 kabila mpare nipo Bagamoyo nitumie no yako ya Whatsapp
Habari naitwa Rose nina miaka 27 kabila mpare nipo Bagamoyo nitumie no yako ya Whatsapp
Upo siriazHabari naitwa Rose nina miaka 27 kabila mpare nipo Bagamoyo nitumie no yako ya Whatsapp
Mkuu ukipata nitag maana siku hizi kupata mke si kazi ndogoMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Elimu yangu ni bachelors degree.
Ni mwajiriwa na nimejiajiri pia. Dini yangu ni Mkristo.
Nahitaji mke mwenye umri wa miaka 20-32. Dini awe mkristo