Natafuta mwanamke wa kuoa

Viazi

Member
Joined
May 7, 2013
Posts
18
Reaction score
0
Habarini wadau wote wa JF mimi kijana wa 25-26 nataka mwana dada 18-24 wa kuoa mwenye elimu yeyote awe na biashara au kazi yeyote mjanja wa towm hapa dar es salaam


mimi form 4
nafanya bishara ndogondogo za uswaz
naishi maisha ya mtz wa kawaida
sinywi pombe
sivuti sigara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…