Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Viazi

Member
Joined
May 7, 2013
Posts
18
Reaction score
0
Habarini wadau wote wa JF mimi kijana wa 25-26 nataka mwana dada 18-24 wa kuoa mwenye elimu yeyote awe na biashara au kazi yeyote mjanja wa towm hapa dar es salaam


mimi form 4
nafanya bishara ndogondogo za uswaz
naishi maisha ya mtz wa kawaida
sinywi pombe
sivuti sigara
 
Back
Top Bottom