Wana JR, niko hapa leo kutafuta mwanamke wa kuoa, ni kweli kwamba asilimia kubwa ya mahusiano yanayodumu au kukubalika ni kwa wale watu ambao wanafahamiana kwa muda mrefu, kwamba utamjua mtu anaishi wapi, wazazi wake, kabila, lake, dini yake nk, lakini ki-ukweli ukifuatilia vitu hivi, unaweza usipate mwenzi wako, kwani sio wote unao wafahamu wanafaa kuwa nawe ki-ndoa, hivyo basi kwa yule ambaye anaamini mtazamo wangu, tafadhari tuwasiliane, Ninahitaji mke wa kuoa ila awe anajua kusoma na kuandika, sijali kama uko divorced au single! Napenda mtu atakae weza ku-establish mapenzi upya kwa mtu mgeni from no-where! Please, tuwasiliane!
Kwa upande wangu, najua kusoma na kuandika, am a divorced man, nina mtoto mmoja wa kiume, ninafanya kazi, ninaishi Dar Es Salaam. Navuta sigara na nakunywa pombe lakini sio sana, niko tayari kubadilika kwa nitakaye kuwa naye kwa namna tutakavyokubaliana!
Kwa upande wangu, najua kusoma na kuandika, am a divorced man, nina mtoto mmoja wa kiume, ninafanya kazi, ninaishi Dar Es Salaam. Navuta sigara na nakunywa pombe lakini sio sana, niko tayari kubadilika kwa nitakaye kuwa naye kwa namna tutakavyokubaliana!