The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
mkuu usishituke hiyo ndiyo hali halisi ya chuo ulichosoma!kujitambulisha kwa jina la chuo hicho ulichosoma ni lazima uwe mjasili.maana elimu ya pale imechakachuliwa!pole sana mkuu!!
Chamajani acha kumuharibia mwenzio, wewe si umeshaweka post ya kuoa siku ya ijumaa mke wa pili? acha vijana nao wafaidi au unadhani jamaa atawamaliza mabinti wote hadi ukose wife wa 3?Ha ha ha ha! akili zako zinakutosha wee hata ukanipa upambe wa bwana harusi, nitapiga kanzu ya Oman then huyo demu wako ata-change kibao ili nimchukue mimi, sasa sjui utaja shtaki hap JF hali ya kuwa shavu umenipa mwenyewe!
Ahh bahati sio yangu!duh,ni mingi kias, at least ingezidi miwili hivi,
In stead of wasting your time kwenye JF nakushauri URudi palepale CBE Dodoma, utapata demu ndani ya sekunde kama sio dakika! But kama uko dar jaribu CBE au IFMNashukuru MadameX kwa ushirikiano wako,
Kwa kifupi nina elimu ya chuo toka CBE-dodoma(ADA),Ni mrefu wa wastan,
sipendi makuu,napenda ukweli na nachukulia changamoto za maisha kama potential opportunities toward success.,
Chamajani acha kumuharibia mwenzio, wewe si umeshaweka post ya kuoa siku ya ijumaa mke wa pili? acha vijana nao wafaidi au unadhani jamaa atawamaliza mabinti wote hadi ukose wife wa 3?
In stead of wasting your time kwenye JF nakushauri URudi palepale CBE Dodoma, utapata demu ndani ya sekunde kama sio dakika! But kama uko dar jaribu CBE au IFM
Ahh bahati sio yangu!
duh hicho chuo ndio kime-loose credibility kiasi hicho
Namtengenezea!
mchango wako mkubwa cna,
ila kuna mchumba told me kwamba alikuwa afunge harus nawe ijumaa ila ofa hii imentoa ud...,vp nikupige kanzu ya Oman?
Ha ha ha ha! Hawezi kuwa huyo, because "komamanga" langu hajapatikana hapa ktk JF na wala hajui kama kuna kitu kinaitwa JF(Jukwaa la Furaha) in addition, yeye yuko opt kuwa either 2nd, 3rd, or 4th wife. Experience inaonyesha kwamba mke wa pili na kuendelea huwa hatafutiwi na watu, so huyo wako ni wa kwanza tu!
Nimekupa tenksi kamanda, huyu dogo anataka kujifanya hajui kuhusu mkwanya na CBE!
Usijali utampata tu kuwa mvumilivu tatizo lenu mkiishapata mnachotafuta huwa hamrudi kugonga thanks
hapana shakha,
anakubalika tu ila awe aged below 26yr,
ucjal cna,
let me hv a time to think twice,if we can share this burden of luv that drags ma'hrt to the ecstasy of optimism!,
Reallyy......????Ntafurahi sana...!!
Mme wake wa mwanzo ataruhusiwa kuja kumwangalia mwanae
Reallyy......????Ntafurahi sana...!!
we kiswahili umesomea wapi?
CBE nakipa big up ndugu yangu,
coz NBAA wacngeniruhusu kupiga module E, na mei namalizia module F,upo hapo,naona kinakuuma kama maximo na ushindi wa stars
so nikupige kanzu ya OMAN?,itakupendeza kwa cna tu,unajua ilivyodariziwa?,
teh teh teh!,