Natafuta mwanamke wa kuoa.


hapan shakha,ushauri wako unafanyiwa kazi,
mhh,hivi ni kweli laweza patikana jini humu?,
 

hii mbinu itanipeleka pabaya kivip wkt mi naamini all great thinkers wako hapa?
Ina maana kuna majini humu?
 

nshawapata, sasa nafanya analysis ya standards zao,
mungu nisaidie yasije yakawa machunaji,au majini!,
ila mmoja nilipomwambia ishu ya kupima ngoma kaamua kuchapa lapa.
 



nakushauri nenda kwenye makanisa ya kilokole mmademu kibao wanasubiri
 
urefu,umri,rangi?navyo kwa sie wengine vinamata.....................
 
habar zenu bana,
nilipotelea huko mwisho wa reli aka kigoma,
kusini mwa z.tanganyika twakuita buhingu,
nimerudi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…