Coza Mhando
Senior Member
- Dec 14, 2010
- 194
- 7
- Thread starter
-
- #81
Mm ndugu yangu haya ndiyo maendeo au.Mchumba unatafuta kwenye mtandao.Ni vema ukatumia ndugu zako ambao ninaamini unao au hata rafiki zako. Wape ndugu/rafiki zako hizo qualifications kama nia yako ni njema kweli sio ku-sample tu.Mbinu unayotumia wewe itakupeleka pabaya au upate ukimwi au uoe jini.
Mm ndugu yangu haya ndiyo maendeo au.Mchumba unatafuta kwenye mtandao.Ni vema ukatumia ndugu zako ambao ninaamini unao au hata rafiki zako. Wape ndugu/rafiki zako hizo qualifications kama nia yako ni njema kweli sio ku-sample tu.Mbinu unayotumia wewe itakupeleka pabaya au upate ukimwi au uoe jini.
hii mbinu itanipeleka pabaya kivip wkt mi naamini all great thinkers wako hapa?
Ina maana kuna majini humu?
hata machunaji wapo 🙂
Mm ndugu yangu haya ndiyo maendeo au.Mchumba unatafuta kwenye mtandao.Ni vema ukatumia ndugu zako ambao ninaamini unao au hata rafiki zako. Wape ndugu/rafiki zako hizo qualifications kama nia yako ni njema kweli sio ku-sample tu.Mbinu unayotumia wewe itakupeleka pabaya au upate ukimwi au uoe jini.
hata machunaji wapo 🙂
ni j'pil tulivu nyingine,muda kama huu wanajf mnajiachia maeneo yenu tofauti tofauti ya kujidai,
nawashukuru sana tena sana kwa ushirikiano wenu mlionipa ktk muda wote wa kumtafuta "a woman of my lyf" kupitia hapa jf.
Ndugu wapendwa,mlikuwa na mengi ya kufanya lkn mkaamua kusacrifice sehemu yenu ya hii limited resource i.e.'time' na kuidevote ktk ishu hii.thanx u a million.
Haikuwa kazi rahisi hata kidogo,japo bado haijakamilika.
Nimekutana na vikwazo kibao,maoni tofauti,pm za ajabu,nzuri na nyingine mhh,we acha tu!!,
lakini zote ni changamoto ambazo zimeniwezesha kuingia ktk hatua hii muhimu ktk kufunua ukurasa mpya wa maisha yangu.
Si rahisi kumshukuru mmoja mmoja wenu kwa mchango wake,na nadhan maneno hayatoshi kutoa shukrani zangu za dhati toka moyoni mwangu ila naomba tu kusema ahsanteni!,
nawapenda wote hasa wale 'cutes' walojitokeza kwa nia moja ya kutaka kuwa mwili mmoja nami,thanx a lot.
Walikuwa wengi ila wachache wao ndio waliobahatika kuingia final stage,
kesho nahitimisha baada ya kufanya nao usaili wa mwisho,
napenda kusema zoezi hili la kupokea maombi nimelihitimisha rasmi.
Maoni,ushauri,critics vyote navikaribisha!,
nawatakia wkend njema wana jf,
nawapenda wote hasa wewe unayesoma hii thread!,
nakushauri nenda kwenye makanisa ya kilokole mmademu kibao wanasubiri
Bado tu hujabatika?Mi nna sifa zote ulizotaja isipokua umri!!Huwezi kubadilisha mawazo hapo?
Na kama huna bahati utabahatikajeeee!
Ameandika pale juu: Muislam
nakushauri nenda kwenye makanisa ya kilokole mmademu kibao wanasubiri
urefu,umri,rangi?navyo kwa sie wengine vinamata.....................
Wakikubania, njoo kjijin kwe2! Huku unapata orijino "wa kienyeji"
Wakikubania, njoo kjijin kwe2! Huku unapata orijino "wa kienyeji"