Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Sawa mkuu.hebuu nisaidiee kuwanyooshea basiUmeanzia mbali sana mjumbe wewe nenda straight kwenye point mbona hawa watu ni waelewa sana tuuu
Unavyojizungusha unaonekana mbabaifu
Sawa mkuu.nawasubiriaNgoja waje
Ya kisasa ikoje mkuuHii mbinu bado ni ya kizamani
Mchujo lini? Nianze kumeza mistari sasa?
Nena Kwa lugha mkuu au ulimi mzito😅
Namba umeiona [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hata wewe unaomba usajiliMchujo lini? Nianze kumeza mistari sasa?