Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

Natafuta mwanamke wa kuzaa naye.

RUBERTS

Senior Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
136
Reaction score
50
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida na waataalamu wa masuala ya wanawake (Gynoclogists) lakini naona hakuna uwezekano tena. Nimevumilia sana sasa naona nakata tamaa. Mimi nahitaji mtoto mwingine japo mmoja, lakini mke wangu hataki nizae nje ya ndoa. Sifa za mwanamke ninayemtaka ni hizi: Awe na kazi na elimu anglau form six, anaweza akawa na mtoto lakini si zaidi ya mmoja, awe mzuri na mweupe, dini siyo muhimu sana ila mimi ni mkristo, awe na uelewa wa kutosha wa maisha, asiwe na ugonjwa wa aina yoyote, awe mchangamfu, asiwe after money. Mtoto akizaliwa awe tayari kupima DNA ili kujihakikishia kuwa mtoto ni wangu. Maana matapeli wako wengi.
 
hayo mambo ya kuwa na watoto kisiri siri mabaya ukifa ghafla itakuwaje? Si mwanzo wa watoto kuoana huu?

Ila nakutakia mafanikio mema........
 
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Mtoto huyo nimemzaa na mke wangu wa ndoa ambaye tulioana miaka 13 iliyopita. Mke wangu anaye mtoto wa kiume ana miaka 25 sasa. Nilimkuta akiwa na mtoto huyo. Wote ninaishi nao nyumba moja, na nawapenda sana. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida na waataalamu wa masuala ya wanawake (Gynoclogists) lakini naona hakuna uwezekano tena. Nimevumilia sana sasa naona nakata tamaa. Umri wa mke wangu ni sawa na wangu. Mimi nahitaji mtoto mwingine japo mmoja, lakini mke wangu hataki nizae nje ya ndoa. Sasa nimeamua nataka nizae nje ya ndoa kwa siri. Uwezo wa kifedha kumtunza mtoto na mama yake upo. Mwanamke yeyote ambaye yuko tayari kufanikisha hilo, naomba tuwasiliane ktk email hii: mrtrusted@hotmail.com. Sifa za mwanamke ninayemtaka ni hizi: Awe na kazi na elimu anglau form six, anaweza akawa na mtoto lakini si zaidi ya mmoja, awe mzuri na mweupe, dini siyo muhimu sana ila mimi ni mkristo, awe na uelewa wa kutosha wa maisha, asiwe na ugonjwa wa aina yoyote, awe mchangamfu, asiwe after money. Niko serious na suala hili.

Acha tamaa, acha uzinzi. Ulisema utakuwa mwaminifu kwa shida na raha mpaka kifo kiwatenganishe!! Una watoto wawili (mmoja ni wa mkeo, sawa) umesema unawapenda sana, sasa unatafuta mtoto mwingine wa nini. Acha uzinzi, tamaa za ngono. I dont buy your idea at all. Tena unasema unataka uzae kwa siri, hopeless!!!
 
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Mtoto huyo nimemzaa na mke wangu wa ndoa ambaye tulioana miaka 13 iliyopita. Mke wangu anaye mtoto wa kiume ana miaka 25 sasa. Nilimkuta akiwa na mtoto huyo. Wote ninaishi nao nyumba moja, na nawapenda sana. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida na waataalamu wa masuala ya wanawake (Gynoclogists) lakini naona hakuna uwezekano tena. Nimevumilia sana sasa naona nakata tamaa. Umri wa mke wangu ni sawa na wangu. Mimi nahitaji mtoto mwingine japo mmoja, lakini mke wangu hataki nizae nje ya ndoa. Sasa nimeamua nataka nizae nje ya ndoa kwa siri. Uwezo wa kifedha kumtunza mtoto na mama yake upo. Mwanamke yeyote ambaye yuko tayari kufanikisha hilo, naomba tuwasiliane ktk email hii: mrtrusted@hotmail.com. Sifa za mwanamke ninayemtaka ni hizi: Awe na kazi na elimu anglau form six, anaweza akawa na mtoto lakini si zaidi ya mmoja, awe mzuri na mweupe, dini siyo muhimu sana ila mimi ni mkristo, awe na uelewa wa kutosha wa maisha, asiwe na ugonjwa wa aina yoyote, awe mchangamfu, asiwe after money. Niko serious na suala hili.

hyo e-mail yako badilisha huendani nayo wewe sio Mr trusted.
 
Hopeless and stupidy Man, what a shame? Watoto wanaliwa mpaka Uharibu Amani ya Ndoa yako? Mkeo Naye akitafuta mwingine? Uzinzi huo hauna maana wala sababu.
 
Unatafuta ngono za bure tu wewe! Mie najitolea kuzaa na wewe ila kwa ivf.
Unatafuta wa kuzaa nae, elimu yake na uzuri wake unahusikaje hapo? Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja ili iweje? Una mpango wa kuhudumia familia yake yote?
 
Chukuwa na watoto wa dada yako uishi nao na kuwasomesha hao nao ni watoto. Mbona Clinto ana mtoto mmoja tuu kama wewe na bado ni mtu wa furaha tuu?
 
  • Thanks
Reactions: LD
Unatafuta ngono za bure tu wewe! Mie najitolea kuzaa na wewe ila kwa ivf.
Unatafuta wa kuzaa nae, elimu yake na uzuri wake unahusikaje hapo? Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja ili iweje? Una mpango wa kuhudumia familia yake yote?

Yaani ni kama umeiba mawazo yangu, we unatafuta mtoto halafu unaanza kuweka mavigezo kibaaaaaaaaaaaao mara form six mara awe mweupe na mzuri oh asiwe after money we vipi wewe bana? Sema unatafuta mwanamke mrembo mweupe na ili uwe unazini nae kirahisi ndio utaka kumbebesha hilo limimba pambafu kabisa wewe mkeo ana hasara.
 
  • Thanks
Reactions: LD
Akili ya mwanaume inawaza hivi? Mwanaume aliyeumbwa kwanza kabla ya mwanamke? Haya labda utampata.
 
Hopeless and stupidy Man, what a shame? Watoto wanaliwa mpaka Uharibu Amani ya Ndoa yako? Mkeo Naye akitafuta mwingine? Uzinzi huo hauna maana wala sababu.

Asante Uttoh 2002, Eti jianaume jizima linafikiria mavi (samahani kwa neno kali) kichwani!! Shame up on him. Watoto ni malori kuwa sasa naanza kuzalisha mali utajiri unanukia, linafikiria kuvunja ndoa eti watoto!! Watoto unajua watakuwa wa aina gani kama si vibaka wa kuchoma na moto mitaani mpaka wavunje ndoa. Jitu halina huruma na mama liliyemtoa kwa wazazi wake, je mwenzio akifanya hivyo utafurahi, shenzi.
 
HIVI UKIWA NA MIKA SABA BILA HATA MTOTO. NA UKAGUNDUA SHIDA IPO KWA MWANAMKE. WEWE KAMA GREAT THINKER UTASHAURI MWANAUME ACHUKUE HATUA GANI???. tUSIONGEE TU KUFURAHISHA JAMIII. JE MUME AKUBALI KUISHI MAISHA YAKE YOTE BILA MTOTO???
 
hayo mambo ya kuwa na watoto kisiri siri mabaya ukifa ghafla itakuwaje? Si mwanzo wa watoto kuoana huu?

Ila nakutakia mafanikio mema........
alafu mke wake wa ndoa hataki asa kwanini umkaidi mkeo jamani..............wanaume nyie na sio kwamba mke hazai ashakuzali mmoja na bado angekuzalia sema mipango ya mungu ndio ivo tena sasa ww badala ya kukituliza ndani unataaka ukagawe mbegu nje lol!
 
mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Mtoto huyo nimemzaa na mke wangu wa ndoa ambaye tulioana miaka 13 iliyopita. Mke wangu anaye mtoto wa kiume ana miaka 25 sasa. Nilimkuta akiwa na mtoto huyo. Wote ninaishi nao nyumba moja, na nawapenda sana. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida na waataalamu wa masuala ya wanawake (gynoclogists) lakini naona hakuna uwezekano tena. Nimevumilia sana sasa naona nakata tamaa. Umri wa mke wangu ni sawa na wangu. Mimi nahitaji mtoto mwingine japo mmoja, lakini mke wangu hataki nizae nje ya ndoa. Sasa nimeamua nataka nizae nje ya ndoa kwa siri. Uwezo wa kifedha kumtunza mtoto na mama yake upo. Mwanamke yeyote ambaye yuko tayari kufanikisha hilo, naomba tuwasiliane ktk email hii: mrtrusted@hotmail.com. Sifa za mwanamke ninayemtaka ni hizi: Awe na kazi na elimu anglau form six, anaweza akawa na mtoto lakini si zaidi ya mmoja, awe mzuri na mweupe, dini siyo muhimu sana ila mimi ni mkristo, awe na uelewa wa kutosha wa maisha, asiwe na ugonjwa wa aina yoyote, awe mchangamfu, asiwe after money. Niko serious na suala hili.

jaribu kutafuta anayejitosheleza kwa kipato, ukichukua hawa wanawake wachumia tumbo ndoa yako itakuwa mashakani sana maana atakufuata kila siku nyumbani kwa kisingizio cha mtoto.
 
alafu mke wake wa ndoa hataki asa kwanini umkaidi mkeo jamani..............wanaume nyie na sio kwamba mke hazai ashakuzali mmoja na bado angekuzalia sema mipango ya mungu ndio ivo tena sasa ww badala ya kukituliza ndani unataaka ukagawe mbegu nje lol!

Yeye anatafuta mtoto, atulize ndani atampata?
 
Kama uwezo unao kama unavyo sema siongeza mke.
 
HIVI UKIWA NA MIKA SABA BILA HATA MTOTO. NA UKAGUNDUA SHIDA IPO KWA MWANAMKE. WEWE KAMA GREAT THINKER UTASHAURI MWANAUME ACHUKUE HATUA GANI???. tUSIONGEE TU KUFURAHISHA JAMIII. JE MUME AKUBALI KUISHI MAISHA YAKE YOTE BILA MTOTO???

Yes, ishi bila mtoto, mtoto ni oxygen? Uliahidi nini kanisani? Ahadi ni nini? Usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio.
 
Hopeless and stupidy Man, what a shame? Watoto wanaliwa mpaka Uharibu Amani ya Ndoa yako? Mkeo Naye akitafuta mwingine? Uzinzi huo hauna maana wala sababu.

Tusikurupuke. Madumuni mojawapo ya ndoa ni watoto, Kama hawapo amani hiyo unayozungumzia haipo kabisa. Ila kuna watu wanavumilia tu na maumivu moyoni. Wanawake wengi wanauchezea ujana wao na kusababisha tatizo la kutopata mimba.
 
Please take my advice - Kama mmeishi muda mrefu na mkeo tunaamini mlifunga ndoa takatifu, hii ina maana ni vizuri mkaishi kwa misingi ya dini yenu. Kama mkeo alishakukataza kuzaa nje ya ndoa yuko sahihi kabisa, ukikiuka hilo na mkeo akagundua hakika ndoa yenu itakuwa hatarini lakini utakuwa umemkosea mungu sana.

Lakini pia, wako watoto wengi sana hawana wazazi (yatima), kuna wengine ambao walitupwa wazazi wao hawafahamiki - kwahiyo ningekushauri kushauriana na mkeo suala la ku-adopt mtoto. Lakini la muhimu zaidi mkeo aridhike, akisharidhika mnaweza kufanya hivyo. Mtapata thawabu kwa mungu wengu, lakini pia ndoa yenu itakuwa na amani zaidi kwani huyo atakuwa mtoto wa kwenu. Ingawa itakuwa muhimu kufuata taratibu zote za ku-adopt huyo mtoto.

Mwisho, hiyo email address yako imekuwa ya kihuni pia.
 
Back
Top Bottom