Yaani ni kama umeiba mawazo yangu, we unatafuta mtoto halafu unaanza kuweka mavigezo kibaaaaaaaaaaaao mara form six mara awe mweupe na mzuri oh asiwe after money we vipi wewe bana? Sema unatafuta mwanamke mrembo mweupe na ili uwe unazini nae kirahisi ndio utaka kumbebesha hilo limimba pambafu kabisa wewe mkeo ana hasara.
Yes, ishi bila mtoto, mtoto ni oxygen? Uliahidi nini kanisani? Ahadi ni nini? Usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio.
mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 41. Ninaye mtoto mmoja wa kike ana umri wa miaka 10. Mtoto huyo nimemzaa na mke wangu wa ndoa ambaye tulioana miaka 13 iliyopita. Mke wangu anaye mtoto wa kiume ana miaka 25 sasa. Nilimkuta akiwa na mtoto huyo. Wote ninaishi nao nyumba moja, na nawapenda sana. Tatizo ni kwamba mke wangu hashiki mimba nyingine. Tumeishaangaika vya kutosha kwa madaktari wa kawaida na waataalamu wa masuala ya wanawake (gynoclogists) lakini naona hakuna uwezekano tena. Nimevumilia sana sasa naona nakata tamaa. Umri wa mke wangu ni sawa na wangu. Mimi nahitaji mtoto mwingine japo mmoja, lakini mke wangu hataki nizae nje ya ndoa. Sasa nimeamua nataka nizae nje ya ndoa kwa siri. Uwezo wa kifedha kumtunza mtoto na mama yake upo. Mwanamke yeyote ambaye yuko tayari kufanikisha hilo, naomba tuwasiliane ktk email hii: mrtrusted@hotmail.com. Sifa za mwanamke ninayemtaka ni hizi: Awe na kazi na elimu anglau form six, anaweza akawa na mtoto lakini si zaidi ya mmoja, awe mzuri na mweupe, dini siyo muhimu sana ila mimi ni mkristo, awe na uelewa wa kutosha wa maisha, asiwe na ugonjwa wa aina yoyote, awe mchangamfu, asiwe after money. Niko serious na suala hili.
Please take my advice - Kama mmeishi muda mrefu na mkeo tunaamini mlifunga ndoa takatifu, hii ina maana ni vizuri mkaishi kwa misingi ya dini yenu. Kama mkeo alishakukataza kuzaa nje ya ndoa yuko sahihi kabisa, ukikiuka hilo na mkeo akagundua hakika ndoa yenu itakuwa hatarini lakini utakuwa umemkosea mungu sana.
Lakini pia, wako watoto wengi sana hawana wazazi (yatima), kuna wengine ambao walitupwa wazazi wao hawafahamiki - kwahiyo ningekushauri kushauriana na mkeo suala la ku-adopt mtoto. Lakini la muhimu zaidi mkeo aridhike, akisharidhika mnaweza kufanya hivyo. Mtapata thawabu kwa mungu wengu, lakini pia ndoa yenu itakuwa na amani zaidi kwani huyo atakuwa mtoto wa kwenu. Ingawa itakuwa muhimu kufuata taratibu zote za ku-adopt huyo mtoto.
Mwisho, hiyo email address yako imekuwa ya kihuni pia.
Makubwa!
Mtoa mada, mie nilidhani mkeo hazai kabisa, kumbe mna watoto! Kwa nini msikae na kuwale hao waliopo badala ya kuranda randa nje? Hata kama angekuwa hazai, maadili ya ndoa za Kikristo hayaruhusu hayo unayotaka kufanya.
TAFAKARI, CHUKUA HATUA
Unachagua mwanamke mzuri ili mtoto nae awe mzuri.
Tusikurupuke. Madumuni mojawapo ya ndoa ni watoto, Kama hawapo amani hiyo unayozungumzia haipo kabisa. Ila kuna watu wanavumilia tu na maumivu moyoni. Wanawake wengi wanauchezea ujana wao na kusababisha tatizo la kutopata mimba.
HIVI UKIWA NA MIKA SABA BILA HATA MTOTO. NA UKAGUNDUA SHIDA IPO KWA MWANAMKE. WEWE KAMA GREAT THINKER UTASHAURI MWANAUME ACHUKUE HATUA GANI???. tUSIONGEE TU KUFURAHISHA JAMIII. JE MUME AKUBALI KUISHI MAISHA YAKE YOTE BILA MTOTO???
Yaani ni kama umeiba mawazo yangu, we unatafuta mtoto halafu unaanza kuweka mavigezo kibaaaaaaaaaaaao mara form six mara awe mweupe na mzuri oh asiwe after money we vipi wewe bana? Sema unatafuta mwanamke mrembo mweupe na ili uwe unazini nae kirahisi ndio utaka kumbebesha hilo limimba pambafu kabisa wewe mkeo ana hasara.
Haiwezekani. Wanawake mjifunze kujitunza. Msikimbilie mapenzi kabla ya ndo
MkimbizwaMbio huyu mtu ana watoto wawili tayari wa mke na wa kwake sasa anachotafuta huko nje ni nini kama sio uzinzi tu? Mkewe angekua hajawahi kumzalia mtoto sawa lakini ameshazalia mmoja na anamwingine pia aliemzaa ujanani so mke ana mayai ya kutosha tu, pengine huyu baba ndio alikua na yai moja mbona hana hata wa kusingiziwa huko nje? Hana shida ya mtoto huyu anatafuta mwanamke wa kuzini nae tuHata Adoption ni mtoto wa nje ya ndoa. Tena hana uhusiano na baba wala mama, Si bora ahusiane na mmojawapo??
Hizi ni hasira za kukosa sifa.
I don't wan speak for women ila kumpata mwanamke esp humu its kinda hard, n kama atajitokeza kwa namna yeyote ile lazima akutoe pesa ya kutosha hivyo jiandae kutolewa mkwanja mrefu sasa ukisema asiwe after money hata mimi nashindwa kukuelewa thou am a straight man.
MkimbizwaMbio huyu mtu ana watoto wawili tayari wa mke na wa kwake sasa anachotafuta huko nje ni nini kama sio uzinzi tu? Mkewe angekua hajawahi kumzalia mtoto sawa lakini ameshazalia mmoja na anamwingine pia aliemzaa ujanani so mke ana mayai ya kutosha tu, pengine huyu baba ndio alikua na yai moja mbona hana hata wa kusingiziwa huko nje? Hana shida ya mtoto huyu anatafuta mwanamke wa kuzini nae tu
[Chukuwa na watoto wa dada yako uishi nao na kuwasomesha hao nao ni watoto. Mbona Clinto ana mtoto mmoja tuu kama wewe na bado ni mtu wa furaha tuu?]
Ndo maana tukaumbwa tofauti. hata hivyo Clintoni hana furaha, kama clinton ana furaha kwa nini alienda kwa Monica Lowensky?