natafuta mwanamke zeruzeru wa kuoa

natafuta mwanamke zeruzeru wa kuoa

libent

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
382
Reaction score
84
jamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30
 
sali na kuomba,inshallah subhana wataal atakupa haja ya moyo wako,Amina.
 
unalako jambo ngoja ni mp IGP said mwema akchunguze..
 
mkuu! hauna agenda ya siri kweli? na waswasi na wewe!
 
mkuu! hauna agenda ya siri kweli? na waswasi na wewe!

Hapana mkuu nimetokea kuwapenda na wao wanahitaji faraja kama wengine i love them so much
 
kama hayo ya kweli all the best,kama una mengine go to hell!
 
Mbona unawadhalilisha?
Unatangaza kama wao ni bidhaa
kipi kinatangulia upendo au uzeruzeru?

Hakuna miiko kwenu?
Huna adabu!
 
Yawezekana kweli una nia njema... But the attitude umetumia kutangaza, I second Kongosho...
 
Acheni kumkosoa sana jamani na yeye mwenyewe ni albino huyo
 
Wewe janja yako ni kutaka zile dola za Under the same Sun
 
umeshapata?. wewe inabidi wazazi wake mkaandikishane polisi makabidhiano kabla hujamuoa wala kufunga ndoa. Mia
 
umeshapata?. wewe inabidi wazazi wake mkaandikishane polisi makabidhiano kabla hujamuoa wala kufunga ndoa. Mia

Mkuu bado sijapata vikwazo vimekuwa vingi ila bado naendelea kutafuta sijakata tamaa
 
jamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30
Mbona unakuwa mbaguzi wakati nchi yetu tnakemea ubaguzi.....but una lako jambo
 
Back
Top Bottom