natafuta mwanamke zeruzeru wa kuoa

natafuta mwanamke zeruzeru wa kuoa

Sema mlemavu wa ngozi. Hilo jina ulilotumia si zuri tena.
 
jamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30
Hapo kwenye red..Usijekuwa unataka kumfanya dili.(Kuuza viungo vyake)!Tunaomba sababu za kutaka kuoa huyo zeruzeru na si wengine?:hatari:
 
Back
Top Bottom