Nakuja pm ankoNdio ni mimi
Weee usiende huko, nimepata wivu ghafra, moyo umeanza kudunda, sijaghairi mpango wangu bado.Nakuja pm anko
Basi siendi tena bbyWeee usiende huko, nimepata wivu ghafra, moyo umeanza kudunda, sijaghairi mpango wangu bado.
Eeeehuuuuu, afadhali bby.Basi siendi tena bby
Mwache ankali bana karahisisha mtu uamue uende pm au usiende[emoji23][emoji23]Daaah ila mambo mengine wazee wenzangu tuna takiwa kuangaliya kwa umakini sana... Sasa Uncle kasongo umeweka hadi picha yako hapo, kama wapo watoto wako wanao kuona, unavo tongoza hapa JF. ao marafiki wa watoto zako, picha gani utakuwa umejiwekeya hapo?