neurosurgeon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 369
- 351
Pesa huwa inategwa mzee haitafutwi!!Mwanamke hatafutwi, pesa ndiyo inatafutwa halafu yenyewe inakutafutia Mwanamke
Umechelewa kuoa. Sasa unatafuta jimama likutunze siyo? Utaanzaisha familia lini?Hello Natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mambo mengine tutaongea akipatikana. Mimi naitwa John niko Dar kwasasa. Umri wangu miaka 35.
Wanaotega pesa ni Matajiri wenyenazo, Maskini anatafuta pesa hategi?Pesa huwa inategwa mzee haitafutwi!!
Mwanaume hachelewi kuoa hata siku 1, hata akioa at 70's bado ni umri sahihiUmechelewa kuoa. Sasa unatafuta jimama likutunze siyo? Utaanzaisha familia lini?
Imani mfu na potofu mwanangu. Kama baba yako ningeamini hivyo, ungekuwa wapi?Mwanaume hachelewi kuoa hata siku 1, hata akioa at 70's bado ni umri sahihi
Inategwa wapi mkuu? Si inabidi utafute pa kuitega?Pesa huwa inategwa mzee haitafutwi!!
Kwani kuchelewa kuoa kuna uhusiano gani na mtoto kuwepo?Imani mfu na potofu mwanangu. Kama baba yako ningeamini hivyo, ungekuwa wapi?
Oa ma nurse hapo hospital unapofanyia kazi hawapo???Hello Natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mambo mengine tutaongea akipatikana. Mimi naitwa John niko Dar kwasasa. Umri wangu miaka 35.
Ahsante sana kwa kunikumbuka, hii sibutuišfinancial services assist nyingine hii hapa