Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Hawa viumbe wakifikaga over 25 na hawajamuona mchumba wala mume huwa wanatia huruma sana.....tatizo lenu wanawake wasomi huwa mko too selective and with over expectations towards men
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningoje nifikishe 30 mwakani,sifa zingine zote ninazoWapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.
Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.
Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.
Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini
Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kisenge hayo, hio namba 5 toa upate husband material chapWapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.
Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.
Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.
Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini
Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahitaji ushuhuda upi? kifupi watu wanaishi na hata kufunga ndoa humu humu.....nina mifano hai mitatu.ID mpya...
Huwa najiuliza mengi sana kuhusu haya matangazo ya hivi!
Ni kweli kabisa watu humaanisha au?
Mimi ni mmoja ya kati ya watu wachache sana [naamini hivyo, yaani tupo wachache mno] ambao huwa hatuamini mazima kila kiandikwacho humu.
Njoo uwe bi mdogo.Wapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.
Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.
Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.
Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini
Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.
Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.
Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.
Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini
Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa tuongeeWapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.
Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.
Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.
Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini
Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha mkuuKati ya Watanzania 10 basi 9 wana msongo wa mawazo. Usikute waliochangia hapa wengine Wakulima wa mahindi, wengine korosho, Wengime Fao la kujitoa, Wengine inabidi wastaafu huku sheris ya kikokotoo kipya cha mafao ikikaria kupitishwa. Sasa stress zao wanakuja kuzipunguza kwa dada wa watu asiye na hatia.
Hata mimi huwa najiulizaga sana hizi nyuzi za namna hii huwa naona kama watu wamekosa mada muhimu za kuandikaID mpya...
Huwa najiuliza mengi sana kuhusu haya matangazo ya hivi!
Ni kweli kabisa watu humaanisha au?
Mimi ni mmoja ya kati ya watu wachache sana [naamini hivyo, yaani tupo wachache mno] ambao huwa hatuamini mazima kila kiandikwacho humu.
Nipo minjingu porini nimejiajiri nachoma mkaa vp nije PM tuyajenge?Wapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.
Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.
Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.
Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini
Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kuwa makini tu kufuatilia posts mbalimbali utagundua hicho kitu.
Sasa mwwnamke unajiitaje matonya2?Wapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.
Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.
Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.
Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini
Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app