Natafuta mwanamme wa kunioa.

Natafuta mwanamme wa kunioa.

Wapendwaa Habari zenu?

Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.

Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.


Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.


Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini


Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningoje nifikishe 30 mwakani,sifa zingine zote ninazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwaa Habari zenu?

Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.

Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.


Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.


Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini


Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kisenge hayo, hio namba 5 toa upate husband material chap
 
ID mpya...

Huwa najiuliza mengi sana kuhusu haya matangazo ya hivi!

Ni kweli kabisa watu humaanisha au?

Mimi ni mmoja ya kati ya watu wachache sana [naamini hivyo, yaani tupo wachache mno] ambao huwa hatuamini mazima kila kiandikwacho humu.
Unahitaji ushuhuda upi? kifupi watu wanaishi na hata kufunga ndoa humu humu.....nina mifano hai mitatu.
 
Wapendwaa Habari zenu?

Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.

Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.


Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.


Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini


Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo uwe bi mdogo.
 
Dad Unitujarb haya sa kama mm selikalin kumejaa ntafanyaj
Wapendwaa Habari zenu?

Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.

Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.


Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.


Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini


Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwaa Habari zenu?

Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.

Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.


Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.


Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini


Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa tuongee
 
Kati ya Watanzania 10 basi 9 wana msongo wa mawazo. Usikute waliochangia hapa wengine Wakulima wa mahindi, wengine korosho, Wengime Fao la kujitoa, Wengine inabidi wastaafu huku sheris ya kikokotoo kipya cha mafao ikikaria kupitishwa. Sasa stress zao wanakuja kuzipunguza kwa dada wa watu asiye na hatia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ID mpya...

Huwa najiuliza mengi sana kuhusu haya matangazo ya hivi!

Ni kweli kabisa watu humaanisha au?

Mimi ni mmoja ya kati ya watu wachache sana [naamini hivyo, yaani tupo wachache mno] ambao huwa hatuamini mazima kila kiandikwacho humu.
Hata mimi huwa najiulizaga sana hizi nyuzi za namna hii huwa naona kama watu wamekosa mada muhimu za kuandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwaa Habari zenu?

Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.

Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.


Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.


Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini


Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo minjingu porini nimejiajiri nachoma mkaa vp nije PM tuyajenge?
 
Wapendwaa Habari zenu?

Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli namaliza mwaka wanaume wote waliopo huku wameoa ambao hawajaoa wengi wao ni vitoto vidogo.

Mimi ni msichana umri wangu miaka 26 nahitaj kuolewa na huku wanaume wengi hawana future za maisha.


Sifa za mwanamme:
1.Awe ameajiriwa au kujiajiri maeneo ya mjini.
2.Miaka 30 -40
3.Dini yeyote
4.Hata kama ulishaoa ukaacha una watoto nipo Tayari.
5.Usiwe Mfupi.


Sifa zangu :
1.Maji ya kunde
2.Mrefu wastani
3.Umbo wastani
4.Mwajiriwa serikalini


Nina Imani Nita pata mme huku ninayemuhitaji kwa sababu nahitaj mwanamme anayejituma tufanye maendeleo ya maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mwwnamke unajiitaje matonya2?
Utakosa mme badili jina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom