Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
😁hapana tusiombe nifike huko maana sitajisamehe kabisaPole sana kweli unaelekea pabaya sipati picha ukisahau kuvaa nanguo itakuaje!
Ok mkuu nakutakia kila rakheli.
msaidie mwenzakoMmnh
Usikute hata kashasahau kama ameandika uzi hapamsaidie mwenzako
😁Usikute hata kashasahau kama ameandika uzi hapa
umekaa siku ngapi bila kula na kuoga ili nijue kama tatizo lako n chronic
Huyu jamaa sikumbuki nilimwona wapi?View attachment 3086418
Mcheki huyu jamaa atakusaidiq
Apana kila nikiingia jf huu uzi utanikumbushaAngalia, usije kusahau kama unatafuta mwanasaikolojia!
Hilo ni tatizo la afya ya ubongo nenda hospitalHabari WanaJF,
Hatimaye nimepata ugonjwa wa kusahau vitu.
Natafuta mwanasaikolojia anisaidie namna ya kuondokana na changamoto hii.
Imefikia hatua nasahau vitu vya muhimu kama kula na kuoga.
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Jiwa Hassan
hii chai imepoa sana irudishe tena jikoniSiku moja
kama unakumbuka kuwa kuna wakati unasahau ww n mzimq haumwi.......😂🤣😅Habari WanaJF,
Hatimaye nimepata ugonjwa wa kusahau vitu.
Natafuta mwanasaikolojia anisaidie namna ya kuondokana na changamoto hii.
Imefikia hatua nasahau vitu vya muhimu kama kula na kuoga.
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Jiwa Hassan