Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Habari WanaJF,
Hatimaye nimepata ugonjwa wa kusahau vitu.
Natafuta mwanasaikolojia anisaidie namna ya kuondokana na changamoto hii.
Imefikia hatua nasahau vitu vya muhimu kama kula na kuoga.
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Jiwa Hassan
Hatimaye nimepata ugonjwa wa kusahau vitu.
Natafuta mwanasaikolojia anisaidie namna ya kuondokana na changamoto hii.
Imefikia hatua nasahau vitu vya muhimu kama kula na kuoga.
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Jiwa Hassan